Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Acha kudanganya wengi wanakuja baada ya kutembelea vivutio kadhaa bara, haswa mlima Kilimanjarowanafwata kazi, wengi wameajiriwa huko kwenye tourism isitoshe >60% ya watalii wanaokija tanzagiza wanaenda Zanzibar au wanakuja sababu ya zanzibar na unajua contribution ya utalii kwenye economy ya tanzagiza …
Wengi wanajibu kwa Kutumia Kitabu cha Mwalimu Nyerere..Hivi huko mbele hawa CCM wakija kuulizwa na wajukuu wao kuhusu ibara ya pili ya katiba ya Zanzibar kuwa hiyo nchi ya pili iliyoungana na nchi ya Zanzibar kutengeneza nchi moja ya Tanzania iko wapi na inaitwaje watajibu nini eti?
Wataendelea kudanganya na kusema uongo tu milele yote?
Ifike wakati huu ujinga na uongo ufike mwisho..!
Sanawana unawatia hasira. Kwa asilimia 100 Beach za tanganyika kuanzia mtwara hadi Tanga zinaubora wa kuweza kutembelewa. Plus mafia na visiwa vidogodogo. Znz sio ishu sanazanzibar bila kuwatawala ni hatari kwa tanganyika
Lilianza Lini kuwa Eneo la Tanganyika..Zanzibar ni eneo halali la Tanganyika kama Mafia, we can never let our land go
Acha kudanganya wengi wanakuja baada ya kutembelea vivutio kadhaa bara, haswa mlima Kilimanjaro
Wazanzibari walitokea wapi?Lilianza Lini kuwa Eneo la Tanganyika..
Kwa Historia Navojua Zanzibar ina Umri mrefu Kuliko Tanganyika
Yeah ni kweli KabisaTatizo wanasheria wanasema katiba ya Tanzania ina kinzana na katiba ya Zanzibar? Yaani kwa Ratiba ya Tanzania Zanzibar sio nchi kwasasa lakini iliwahi kuwa nchi
Zanzibar Ina Muda mrefu Tangu miaka 1170 huko na Baadaye ikawa chini ya Wareno mwaka 1500s Ikiwa inaitwa zenjibar au Zangibari...Wazanzibari walitokea wapi?
hujui kitu dogoSanawana unawatia hasira. Kwa asilimia 100 Beach za tanganyika kuanzia mtwara hadi Tanga zinaubora wa kuweza kutembelewa. Plus mafia na visiwa vidogodogo. Znz sio ishu sana
Leta takwimu niweke zangu acha porojosiyo kweli, ukiondoa zanzibar hakuna utalii wowote wa maana tanzagiza, hata wanaokuja kwenye wanyama ni kwa sababu wanaunganishwa na program ya Zanzibar au hata na kenya lkn tanzagiza yenyewe kama ilivyo ukiondoa zanzibar na kenya utalii utashuka kwa >60% …
Mikwaju ya kula mchana ramadhanWatanganyika hua mnafuata nini zanzibar?
Wana roho mbaya sana.Ukweli ndio huo
Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar?
Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko,
Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala msiwabague namuwafahamu wale ni watu wabinafsi na wabaguzi sana na wenye choyo.
chaisiyo kweli, ukiondoa zanzibar hakuna utalii wowote wa maana tanzagiza, hata wanaokuja kwenye wanyama ni kwa sababu wanaunganishwa na program ya Zanzibar au hata na kenya lkn tanzagiza yenyewe kama ilivyo ukiondoa zanzibar na kenya utalii utashuka kwa >60% …
Kivipi?zanzibar bila kuwatawala ni hatari kwa tanganyika
Wao wanajikutaga ni waarabu kabisa kwanza hata ukienda kule una dini tofauti unaitwa kafiriWeee
Kiukweli wapemba ni wabaguzi mno. Wanajifanya watu wa mungu ila hurum na upendo wa Kitanganyika hawana kitu hicho.
Niambie ni mtanganyika gani anaishi ulaya kama mkimbiz? Wapemba wapo. Yaani tunashirikiana lkn muungano unakasoro za aina mbalimbali
Leta takwimu niweke zangu acha porojo
Weak and foolish ideawatanzagiza wengi hawajui how poor and backward tanzagiza is, zanzibar inajulikana huko nje klk tanzagiza, ukisema zanzibar kila mtu anajua lkn ukisema tanzagiza watu hawaijui.
bottom line, zanzibar haihitaji bara kiuchumi utalii pekee yake wanaishi, usisahahu zanzibar ina watu milioni moja tu, kuna ndege zinakuja tz sababu zinatua zanzibar…