Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
hivi matatizo yetu hatuwezi kuyatatua mpaka tukapembejee nchi za ulaya?
ikiwa chama au viongozi wa vyama wanaamini kuwa suluhisho haliwezi kupatikana bila pressure ya nje je huku ni kutofanya sawa wananchi?
jee viongozi au vyama kama hivi tukiwapa nchi yetu si wataoongozwa kwa remote control kutoka nje?
source mwananchi
Una matatizo wewe, au unataka kuvuruga tu bandiko hili linalo onyesha kwa jinsi gani Madevu aka Maalim alivyochemsha!Samahani, Nilisha kuambia huko nyuma. Please check kwanza ulichoandika kabla ya kutuma. Sasa sisi tunakuwa tunahisi kuwa kama tunaongea na mtoto mdogo kwenye issue nyeti kama hizi.
samahani kama wewe ni under 18 kwa sababu una haki ya kuchemsha hivyo Consistently, lakini kama ni li baba pole sana
Sasa ina maana ukiwa kiongozi wa upinzania huruhusiwa kwenda Ulaya, sijaelewa kabisa mnachokisema akina Kada. Halafu kuna ubaya gani wapinzani kutafuta support ya wanasiasa wenzao huko Ulaya na America mbona wale wa vyama tawala kila siku wapo Ulaya na hatuwashangai badala yake tunawaandalia tafrija?
"Katika mkutano huo, Maalim Seif awali alipanga kuelezea mafanikio ya mwafaka, lakini sasa ataeleza jinsi CCM ilivyowahadaa wapenda amani katika suala hilo," alisema Ismail Jussa ambaye ni Msaidizi wa Katibu Mkuu CUF.
Hivi si inaonekana alikuwa ahudhurie mkutano huo hata kabla ya maamuzi ya Butiama? Sidhani kama amejipeleka
Kwa sababu Serikali ya Zanzibar haikuingia Madarakani kwa ridhaa ya wananchi badala yake kwa Mapinduzi yaliyoongozwa na Field Mashal John Okelo (wahafidhina naomba mnisamehe kwa kutokumtaja Abeid Amani Karume)jee na hawa kina Karume na wahafidhina wenzao kama kina Shamhuna wanaong'ang'ania madaraka kama luba nao waondolewe madarakani kwa mapinduzi?
chama chake si kimejiondoa kwenye muafaka, sasa anaenda kusema nini ? heheee, nilidhani ataisemea CCM kwa wananchi kumbe anaenda ulaya ! Sasa sijui wapiga kura wake wapo ulaya, au vipi, i dont get it !