KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
Sasa ina maana ukiwa kiongozi wa upinzania huruhusiwa kwenda Ulaya, sijaelewa kabisa mnachokisema akina Kada. Halafu kuna ubaya gani wapinzani kutafuta support ya wanasiasa wenzao huko Ulaya na America mbona wale wa vyama tawala kila siku wapo Ulaya na hatuwashangai badala yake tunawaandalia tafrija?
tatizo sio kwenda ulaya, lakini intention ya trip yake kwenda ulaya ndio tatizo ! ama kweli waafrika KAMWE hatutoweza kuwa independent kwenye masuala ya maendeleo yetu wenyewe na hilo hamad seif amethibitisha !
Hao viongozi wa chama tawala sidhani na sijawahi kusoma kokote kwamba wanaenda kuwasemea wapinzani nje, lakini viongozi hao hao wa chama tawala huwasemea wapinzani kwa wananchi wao maana wanajua ndio wapiga kura zao ! i CANT expect huyu jamaa kusolve mambo ya muafaka haki ya mungu !