Kwa vyovyote atakuwa aliombwa na somebody kusema something, kwenye kuvutia upande wa waliomuomba, that is all na hao waandishi ukute tayari walishapewa something, maana hiyo siku hizi bongo imekuwa ni kawaida waandishi kupewa mgawo kabla ya mkutano nao!
Huyu mama alitakiwa kunyamaza tu kuhusu hii issue, ama sivyo atajua Tanzania watu hawana akili au adabu, bahati yake hawajaidaka hii.
United Nations, kwa hii statement, imebariki idea kwamba Zanzibar sio nchi. Whether they are right or wrong, the United Nations hapa imejiingiza katika mgogoro wa ndani wa Kikatiba wa member state. Hii ni bonge moja ya diplomatic gaffe on the part of the undersecretary.
SAKATA la hadhi ya Zanzibar kama ni nchi au la, limezidi kupamba moto baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk Asha-Rose Migiro, naye kujitosa katika mjadala huo kwa kusema nchi inayotambuliwa na Umoja huo ni Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na wala si Zanzibar.
Ngoja niwaambieni,
wanaoshabikia kuuendeleza mjadala wa zanzibar ni nchi si lolote zaidi ya uhuni na uzandiki na zaidi zaidi wananufaika na kuvunjika kwa muungano.
Huu ni ulevi wa kimadaraka... badala ya kuboresha muungano wao wanahubiri kuuvunja.... them think can survive one on but will take couple to acomplish unification...
tufike mahala viongozi kama Seif, Shamhuna na wengineo wenye mawazo mgando tuwaepuke kwani wanaelekea kubaya ambapo ndipo walipopachagua...
NYERERE WAS RIGHT....! Jana tarehe 28 majira ya saa mbili na robo usiku nikiwa na redio yangu mkulima, nilisikiliza kipindi kilichorushwa hewani na TBC maarufu kama WOSIA WA BABA....!
Katika maneno ya mwalimu utagundua kuhusu mjadala unaoendelea. Vile vile hotuba ya SISI WAZANZIBARI WAO WATANGANYIKA nayo inabidi iambatane na ile ya jana.
KUNA MASLAHI BINAFSI NA SI YA WANANCHI KTK HOJA HII...!
Do. Hapa Mheshimiwa Mwiba umeeleza. Ndivyo ilivyo hivyo.
Dk. Migiro either ameboronga au amekuwa misquoted.
Nchi haiwezi kuwa mwanachama wa UN kama nchi hiyo si nchi sovereign, that is true.
Lakini at the same time kutokuwa mwanachama wa U.N hakumaanishi kwamba wewe si nchi sovereign. U.N ni taasisi ya kimataifa kama nyingine nyingi, kuna nchi sovereign kama Switzerland ambazo kutokana na principles zake za neutrality na interests zake za banking zimeamua kutokuwa member wa U.N and many international organizations such as the E.U, NATO, SHENGEN and what not.Hii ni kwa sababu wa Swizi hawataki mikataba ya taasisi hizi iwafunge, hawataki ku abide to U.N resolutins ambazo zinaweza kuwa na implications kwenye banking industry yao na vitu kama hivyo.
Kwa hiyo kuleta issue ya uanachama wa U.N, which insinuates that as a criteria ya ku determine kama Zanzibar ni nchi au siyo at best ni upotoshaji.
Mwandishi anaruka left right and center lakini haja address swala muhimu, nini kinafanya nchi kuwa nchi?
Anyway..kama mambo yenyewe ndio haya wazanzibari tuendeleeni kuwa ndugu tu...mtafanyaje na nyie DUNIA haitaki kuwatambueni??
Duu!! Kaaaazi kwelikweli
WaQuebec walikuwa na makeke sana ya kutoka Canada, wakapewa referendum wakapiga kura kubakia Canada kwa 51% mwaka 1995. Toka hiyo referendum husikii tena wa Quebec kuongelea kujitenga Canada.
Serikali inavyochelewesha referendum ndivyo inavyozidisha vuguvugu la kuukataa muungano na kuongeza nafasi ya muungano kuvunjika.
Dk. Migiro either ameboronga au amekuwa misquoted.
Nchi haiwezi kuwa mwanachama wa UN kama nchi hiyo si nchi sovereign, that is true.
Lakini at the same time kutokuwa mwanachama wa U.N hakumaanishi kwamba wewe si nchi sovereign. U.N ni taasisi ya kimataifa kama nyingine nyingi, kuna nchi sovereign kama Switzerland ambazo kutokana na principles zake za neutrality na interests zake za banking zimeamua kutokuwa member wa U.N and many international organizations such as the E.U, NATO, SHENGEN and what not.Hii ni kwa sababu wa Swizi hawataki mikataba ya taasisi hizi iwafunge, hawataki ku abide to U.N resolutins ambazo zinaweza kuwa na implications kwenye banking industry yao na vitu kama hivyo.
Kwa hiyo kuleta issue ya uanachama wa U.N, which insinuates that as a criteria ya ku determine kama Zanzibar ni nchi au siyo at best ni upotoshaji.
Mwandishi anaruka left right and center lakini haja address swala muhimu, nini kinafanya nchi kuwa nchi?
Kuna kitu ambacho tunapaswa kutenganisha, sovereign state na state. Zanzibar ni nchi ambayo haina soverignity yake binafsi. Sovereignity yake inapatikana kupitia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. QUOTE]
Hili unaloeleza ndio jambo la kulizingatia. Tunaelewa kuwa Tanganyika inapata sovereignity yake 100% kupitia Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa muundo wa Muungano na utekelezaji wake kwa vile masuala yote ya Tanganyika yanashughulikiwa na Serikali ya Muungano. Jee Zanzibar inaipata sovereignity yake kwa kiwango gani kupitia Serikali ya Jamhuri ya Muungano, kwa vile ina mambo mengi tu ambayo inashughulika wenywe ikiwa kama Nchi ( na Mahkama zake, Baraza lake, Serikali yake na Rais wake pamoja na Baraza la Mawaziri) -ndani ya Jamhuri ya Muungano?
mkandara,
nilipotea muda kutokana na shughuli za hapa na pale na bado hazijaisha ila nimetupa macho na kuuona huu mjadala, japo kwamba imeniwia tabu kuusoma na kuupima kimantiki wote , lakini , nimeona nidandie hapa njiani.,
umeomba uelimishwe ni vipi zanzibar hainufaiki na muungano ,, lakini umeshindwa kuonesha ni vipi zanzibar inanufaika na muungano?, nakuomba usiuegemeze uchumi wa nchi za kiafrika na kodi, japo kama kodi ni moja ya vipengele vya uchumi wa nchi yoyote duniani, na pia nakuomba ichukulie zanzibar kwamba iliungana na tanganyika as a free state ambayo kama haikuungana basi leo hii tungekuwa tunaongelea zanzibar yenye benki kuu inayotambulika, balozi fungamano na nchi za nje , msaada wa asilimia 100 as a free state, independent authority ya kupata misaada n.k., sasa kwenye maongezi yako si vyema ukaifananisha zanzibar na mkoa wa dodoma as far as history and zanzibar status b4 union is concerned!
hamna haja ya kufichana ,muungano hausaidii lolote kwa wazanzibari, ninachoomba ni marekebisho ambayo yatarejesha hadhi ya zanzibar kimataifa, niliwahi kuongea kipindi cha nyuma , "hakuna serikali ya muungano bali kuna serikali ya tanganyika iliyobeba jina la muungano", je yupo anaebisha?
... ninachoomba ni marekebisho ambayo yatarejesha hadhi ya zanzibar kimataifa...
Check your records-again.