Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Hii ni hatari kwa Muungano na inavyoelekea ,huenda mambo yakabadilika na kuifanya kura ya maoni kuwa ni maoni ya kuendelea na CCM ambayo ndio inayoonekana kuilalia Zanzibar kimabavu ,na lazima CUF watalikubali hilo kwani na wao watalitilia nguvu lisimamiwe na vyombo vya Umoja wa kimataifa kwa kila kipngee ,na hapo ndipo patakapobadili muelekeo wa kura ya Maoni ya muafaka na kuwa kura ya maoni ya Muungano ambayo imekuwa ikipigiwa makelele muda mrefu na Wazanzibar wakidai Muungano uliokuwepo si wa kuridhiana bali ni wa watu wawili.CUF walijua wazi kwamba makubaliano yaliofikiwa CCM hawana ubavu wa kuyakubali ila waliwaweka CCM kwenye mtego mkali sana ambao unaonekana umefyetuka na kunasa.