Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 790
Mimi naomba nisirudie mambo ambayo hayatabadilika hata nikifanya nini!
Kura ya Maoni naunga mkono. Na pia Naunga Mkono Kwa kamati ya muafaka kufika hapo... hii ndio maana ya Process... Kamati hii imekaa na kuchambua mambo matano... na mojayapo ni hili la serikali ya mseto, ambayo wanaJF kwa makusudi kabisa mnataka kupotosha umma kwamba ndilo lililokuwa linajadiliwa tu... na Kama halijapita basi hakuna lililofanyika... This is wrong.
Kwa hakika ili uite kura ya maoni ni maoni kweli ya Wananchi wa Zanzibar ni muhimu basi kuwe na formula... yaani tuseme kwa mfano... ili serikali ya mseto iuundwe kule Zanzibar... basi kuwe na at least 50% ya wakaazi wa Pemba na 50% ya wakaazi wa Unguja. Bila hivyo tutapa mgawanyiko ule ule wa CCM na CUF ambao sio mzuri kwa Zanzibar.
Na lazima basi kuwe na chombo Huru(yaani kisiegemee CUF au CCM) cha maridhiano ambacho ndicho kitakacho tangaza na ku-promote maridhiano na ndicho kitakacho tangaza na kuendesha Kura. Chombo hiki chaweza Kuwa Tume ya Uchaguzi, au hata kamati maalumu ya Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar.
Lini kura zinafanyike!!! Kwa hakika zifanyike kabla ya Uchaguzi wa 2010, Lakini implementation ya Serikali ya Mseto ifanyike baada ya 2010... muda huu mrefu kwa kubalisha utawala wa nchi.
Haya si mambo marahisi sana kama tunavyodhani, angalia Kenya Kibaki na Raila bado walikuwa hawajakubaliana kuhusu muundo wa Serikali hiyo ya Mseto mpaka jana at least....
Muhimu ni kuweka processes and structure and framework into implementation of "Serikali ya Mseto";
Tupeane matumaini kuliko ku-raise hali ambayo sio lazima itokee tena Zanzibar.
Kura ya Maoni naunga mkono. Na pia Naunga Mkono Kwa kamati ya muafaka kufika hapo... hii ndio maana ya Process... Kamati hii imekaa na kuchambua mambo matano... na mojayapo ni hili la serikali ya mseto, ambayo wanaJF kwa makusudi kabisa mnataka kupotosha umma kwamba ndilo lililokuwa linajadiliwa tu... na Kama halijapita basi hakuna lililofanyika... This is wrong.
Kwa hakika ili uite kura ya maoni ni maoni kweli ya Wananchi wa Zanzibar ni muhimu basi kuwe na formula... yaani tuseme kwa mfano... ili serikali ya mseto iuundwe kule Zanzibar... basi kuwe na at least 50% ya wakaazi wa Pemba na 50% ya wakaazi wa Unguja. Bila hivyo tutapa mgawanyiko ule ule wa CCM na CUF ambao sio mzuri kwa Zanzibar.
Na lazima basi kuwe na chombo Huru(yaani kisiegemee CUF au CCM) cha maridhiano ambacho ndicho kitakacho tangaza na ku-promote maridhiano na ndicho kitakacho tangaza na kuendesha Kura. Chombo hiki chaweza Kuwa Tume ya Uchaguzi, au hata kamati maalumu ya Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar.
Lini kura zinafanyike!!! Kwa hakika zifanyike kabla ya Uchaguzi wa 2010, Lakini implementation ya Serikali ya Mseto ifanyike baada ya 2010... muda huu mrefu kwa kubalisha utawala wa nchi.
Haya si mambo marahisi sana kama tunavyodhani, angalia Kenya Kibaki na Raila bado walikuwa hawajakubaliana kuhusu muundo wa Serikali hiyo ya Mseto mpaka jana at least....
Muhimu ni kuweka processes and structure and framework into implementation of "Serikali ya Mseto";
Tupeane matumaini kuliko ku-raise hali ambayo sio lazima itokee tena Zanzibar.