Exactly my point,
Unless she is fishing to be misquoted, her entire statement is pointless and rationale is invisible.
What was her point in stating the obvious? tell us something we don't know, or something that has controversy, but unless you are exposing yourself to be misquoted, what is the point of saying "Tanzania is a U.N member state, Zanzibar is not" if you are really not trying to send a subliminary message to the Zanzibaris in the first place?
Then unakuta muandishi aliyesomea Ilala School of Journalism ambaye haujui mlango wa library una rangi gani, ana quote sensationally, then unamkuta airhead mmoja huko Zenj kama Shamhuna, anamburuza huyu mama naye kwenye mijadala ya local politics.
Huyu mama alitakiwa kunyamaza tu kuhusu hii issue, ama sivyo atajua Tanzania watu hawana akili au adabu, bahati yake hawajaidaka hii.