Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nafikiri wakati umefika watanganyika tirudie historia yetu.. Hakuna haja ya ya kung'ang'ania utanzania wakati hakuna faida tuipatayo huko. Jaribu kulinganisha ni zipi faida za muungano na hasara zake kwa mwananchi wa kawaida. Hawa jamaa wamezoea kutunyonya, tumekuwa tukiwaachia na sasa wanatudharau. Imgine bidhaa zizalishwazo Tanganyika leo hii hugaiwa kwa bei ya kutupwa huko zanzibar. mchele kutoka kyela huuzwa kwa bei ndogo kuliko kule kyela kwenyewe unakolimwa, mfuko wa simba cement znz bei ndog kuliko hata Tanga unakotengenezwa, hali kadhalika kwa umeme. wapo wamejazana tele wakifaidi vinono vya watanganyika, wanasoma mlimani na vyuo vingine vya tanganyika bure kwa gharama za walioa kodi wa tanganyika ilhali serikali yao haichangii lolote kwenye HESALB.Tumewalisha vya kutosha sasa wameshiba ndio wanaanza kutudharau. Ushauri wangu ni kwamba tuanze na yafuatayo:-
kwanza tujenge dhana ya utanganyika niongoni mwetu ili vizazi vyetu vijitambue kwamba ni watanganyika na sio watanzania bara.
pili tugomee hali yeyote ya udhalilishaji na uoneaji kama uliondikwa mwanzoni mwa mjadala huu
tatu tutetee maslahi ya watanganyika popote pale bila uoga pale inapoonekana wazanzibari wanataka tugawane vyakwetu.
Kwa kufuata hayo kwanza baadae ukweli utakuja kuoneana kuwa muungano hauna manufaa kwetu kwa wakati huu na tutauvunjilia mbali
nafikiri wakati umefika watanganyika tirudie historia yetu.. Hakuna haja ya ya kung'ang'ania utanzania wakati hakuna faida tuipatayo huko. Jaribu kulinganisha ni zipi faida za muungano na hasara zake kwa mwananchi wa kawaida. Hawa jamaa wamezoea kutunyonya, tumekuwa tukiwaachia na sasa wanatudharau. Imgine bidhaa zizalishwazo Tanganyika leo hii hugaiwa kwa bei ya kutupwa huko zanzibar. mchele kutoka kyela huuzwa kwa bei ndogo kuliko kule kyela kwenyewe unakolimwa, mfuko wa simba cement znz bei ndog kuliko hata Tanga unakotengenezwa, hali kadhalika kwa umeme. wapo wamejazana tele wakifaidi vinono vya watanganyika, wanasoma mlimani na vyuo vingine vya tanganyika bure kwa gharama za walioa kodi wa tanganyika ilhali serikali yao haichangii lolote kwenye HESALB.Tumewalisha vya kutosha sasa wameshiba ndio wanaanza kutudharau. Ushauri wangu ni kwamba tuanze na yafuatayo:-
kwanza tujenge dhana ya utanganyika niongoni mwetu ili vizazi vyetu vijitambue kwamba ni watanganyika na sio watanzania bara.
pili tugomee hali yeyote ya udhalilishaji na uoneaji kama uliondikwa mwanzoni mwa mjadala huu
tatu tutetee maslahi ya watanganyika popote pale bila uoga pale inapoonekana wazanzibari wanataka tugawane vyakwetu.
Kwa kufuata hayo kwanza baadae ukweli utakuja kuoneana kuwa muungano hauna manufaa kwetu kwa wakati huu na tutauvunjilia mbali
nafikiri wakati umefika watanganyika tirudie historia yetu.. Hakuna haja ya ya kung'ang'ania utanzania wakati hakuna faida tuipatayo huko. Jaribu kulinganisha ni zipi faida za muungano na hasara zake kwa mwananchi wa kawaida. Hawa jamaa wamezoea kutunyonya, tumekuwa tukiwaachia na sasa wanatudharau. Imgine bidhaa zizalishwazo Tanganyika leo hii hugaiwa kwa bei ya kutupwa huko zanzibar. mchele kutoka kyela huuzwa kwa bei ndogo kuliko kule kyela kwenyewe unakolimwa, mfuko wa simba cement znz bei ndog kuliko hata Tanga unakotengenezwa, hali kadhalika kwa umeme. wapo wamejazana tele wakifaidi vinono vya watanganyika, wanasoma mlimani na vyuo vingine vya tanganyika bure kwa gharama za walioa kodi wa tanganyika ilhali serikali yao haichangii lolote kwenye HESALB.Tumewalisha vya kutosha sasa wameshiba ndio wanaanza kutudharau. Ushauri wangu ni kwamba tuanze na yafuatayo:-
kwanza tujenge dhana ya utanganyika niongoni mwetu ili vizazi vyetu vijitambue kwamba ni watanganyika na sio watanzania bara.
pili tugomee hali yeyote ya udhalilishaji na uoneaji kama uliondikwa mwanzoni mwa mjadala huu
tatu tutetee maslahi ya watanganyika popote pale bila uoga pale inapoonekana wazanzibari wanataka tugawane vyakwetu.
Kwa kufuata hayo kwanza baadae ukweli utakuja kuoneana kuwa muungano hauna manufaa kwetu kwa wakati huu na tutauvunjilia mbali
vilevile naona umekimbilia suala la kugawana na unataka mambo yawe 50 kwa 50.
..ungefikiria KUCHANGIA sidhani kama ungekuja na hiyo hesabu ya 50 kwa 50.
..Watanganyika tuko milioni 30, wenzetu Wazanzibari ni milioni 2, hatuwezi kuwa na mgao wa 50/50, zaidi hatutugemei mchangie lolote lile kwa asilimia 50%. sijui kwanini mnakuwa wagumu kuelewa kitu kirahisi kama hicho.
Muungano kuvunjika ni jambo ambalo huwezi kulitegemea labda unaweza kufananisha na kikombe au gilasi inayokuponyoka bila ya kuitegemea na hata harakati zako za kuidaka huwa hazina wakati utaona imeshafika chini na kuvurugika unabaki kutafuta fagio na kukusanya magae.Muungano unatakiwa marekebisho ili bara wapate nafasi wanayostahili kwenye manufaa ya muungano huo..Sambamba na visiwa vya Unguja ,Pemba nk...Lakini Muungano kuvunjika ni NDOTO YA MCHANA SAA SITA!
Kwa sababu wabunge wa Bara wamekaa kama watu wa mfalme Suleimani yule nabii aliekufa huku amekaa kwenye kiti na bakora yake,wao wakawa bado na woga wa kufanya kazi bila ya kusita mpaka mchwa walipokula ile bakora na Nabii kuanguka wakaona kumbe alikwisha kufa kitambo.Spika Sitta ameuliza muda mfupi uliopita mbona wanaodai serikali ya TANGANYIKA bungeni ni wabunge kutoka ZANZIBAR?
Zanzibar ni Nchi ambayo ilikuwepo kabla ya Tanganyika au iliasisiswa kabla ya Tanganyika ni rahisi sana kujipapatua ndani ya Muungano ambao upo wazi na unajulikana kuwa hizi ni Nchi mbili na zote viti vyake katika umoja wa Mataifa vipo wazi kwa maana siku wakiamua kujikata basi hawatahitaji kuomba kujiunga na Umoja huo maana viti vyao havijafutwa wala hakuna aliepeleka maombi ya kuvifuta ili kibakie cha Tanzania (Nchi ya kubuni).
Yap is about time huyo waziri wa Zenj ashikishwe adabu