Tunachohitaji ni marekebisho, technically ndani ya muungano, bado Bara tuna-responsibility ya kuwabeba kiusalama ndugu zetu weusi wa huko visiwani, hiyo statement hapo juu ni very irresponsible kijana, ndio faida ya amani kwa wingi hata mnasahau ilikotoka!
Tunasema muungano ufanyiwe marekebisha kupunguza kero za pande zote mbili, sio kuuvunja!, Hayo maneno yako ya kuuvunja sio msimamo wa hii forum I must m,ake that clear kabla mtu hajafikiri wote tunakuunga mkono, HAPANA, na hakuna kura bro!
Halafu wewe si upo London, JM yuko hapo kwa mapumziko mpigie,
kwenye hii namba # 44-789-983-0670,
piga kwa adabu uliza kiungwana utapewa majibu murua kuhusu huu muungano acha ngebe ngebe hapa!, pia Mzee mwenyewe RO naye yupo hapo!