Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
Muungano uvunjwe. No question that it has failed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
what do you mean everything was right?a stupid man is the one who never know an old phenamenon.zanzibar came into union in 1964,before that date every thing was right in zanzibar and well known social welfare.after union no any change in zanzibar took place.realy u a stupid my pal for this and u a numb,blind and deaf.if u dont know ask your fellow who know and u fail to do that u wil continue to be more like stupid.
Zanzibaries have their own constitution, you stupid!! We don't need to give our views on this constitutional review. Warioba get hell out of Zanzibar, its not our thing its Tanganyikans constitution. Again...we have our own constitution.
Bring Tanganyika on the table first then we can talk,....hali ndio hiyo!
uvunjwe ili tuwe majirani waaminifu kama tulivyo na KenyaHabari wakuu.
Wadau,watanzania hatujawahi kupewa fursa ya kupiga kura ya maoni ili kwa ujumla wetu tuamue hatima ya muungano.Ni wazi kabisa kuwa muungano huu umejaa kero na manung'uniko mengi kutoka kwa watanzania wa pande zote mbili za muungano huu.
Hata hivyo,watawala wamekuwa wakikwepa kuwapa wananchi fursa ya kupiga kura ya maoni ili waamue kama muungano huu uendelee au uvunjwe.
Vile vile hata walioasisi muungano huu hawakuwashirikisha wananchi ili kupata maoni yao kama wanakubali au wanakataa kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kwasababu hizo basi,sisi wana JF tutumie mtandao huu kueleza hisia zetu juu ya muungano huu na itasaidia kupeleka ujumbe kwa watawala ni namna gani umma wa watanzania wanavyouchukulia muungano huu.
Hivyo basi,kama unaona muungano uendelee kuwepo sema "NDIO" na kama unaona muungano usiendelee kuwepo sema "HAPANA".
NB:Hii ndio Demokrasia na inaweza kuanzia hapa JF sio lazima kuisubiri serikali ifanye kila kitu.
Umri wa mpiga kura tafadhali.