johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Baba mzazib wa Maza unamfahamu ?Hivi Chato haikuwa nchi?
Vip kulipa napo sheikh?Huo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Siyo ulevi ankali, tugawane kila kitu sawasawa hata TBL nao tugawane 50/50.Acha ulevi asubuhi asubuhi hii sheikh.
Mleta mada yohanambatizaji njoo ujibu kuhusu kulipa nayo iwe 50/50?Haina shida hata kwenye kulipa iwe 50/50..
Nyerere aliona nini Zanzibar??..Siyo ulevi ankali, tugawane kila kitu sawasawa hata TBL nao tugawane 50/50.
Hatutaki kiwanda, TBL wakizslisha hizo bidhaa nazo tugawane 50/50.Zanzibar fedha Za TBL wanazitaka ila hawataki kukiona kiwanda cha TBL Zanzibar
Hawana uwezo wa kuzinunua mkuu, maji ya madafu atakunywa NaniHatutaki kiwanda, TBL wakizslisha hizo bidhaa nazo tugawane 50/50.