peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Zanzibar wanavuna nini? Vitajekama tunashea gharama za muungano sawasawa iltakiwa iwe pasu kwe mavuno ya muungano 'huu ndo ukweli na sio huo wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar wanavuna nini? Vitajekama tunashea gharama za muungano sawasawa iltakiwa iwe pasu kwe mavuno ya muungano 'huu ndo ukweli na sio huo wako
Huu Muungano umefeli na watu wanaogopa kutafuta usuluhisho.Huo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Mgao wowote.Mleta mada yohanambatizaji njoo ujibu kuhusu kulipa nayo iwe 50/50?
Karafuu walilima enzi ya mwalimu, siku hizi wanaishi vijiweni kusubiri mikopoIvi kwa kulima karafuu tu mnaweza kulipa ilo deni,
Tunachopata ni kikubwa kuliko tunavyofikiria.Nyerere aliona nini Zanzibar??..
Kuna namna tunapata namna ya kujilinda vizuri kiulinzi tukiikalia Zanzibar?.
kama tunachangia gharama za muungano sawa kwa sawa then inatakiwa tugawane sawa kwa sawa piaZanzibar wanavuna nini? Vitaje
Mgao wa 50/50 kulipa hapana, hata ajira serikalini hatifanyi hivyo. Fedha za SMZ haziwezi kutumika kulipa mfanyakazi toka bara.Mgao wowote.
Ama ni kulipwa au kulipa.
Siyo kweli hatushei gharama za muungano, Rais wa Jmt halipwi na mapato toka Zanzibar.kama tunashea gharama za muungano sawasawa iltakiwa iwe pasu kwe mavuno ya muungano 'huu ndo ukweli na sio huo wako
yes umefeli big tym yanii... sababu ni hakuna usawa na dawa yake ni serkali 3 au 1Huu Muungano umefeli na watu wanaogopa kutafuta usuluhisho.
SMZ siyo ya muungano bwashee!Mgao wa 50/50 kulipa hapana, hata ajira serikalini hatifanyi hivyo. Fedha za SMZ haziwezi kutumika kulipa mfanyakazi toka bara.
Vijamaa vina unafiki mwingi sana vile.Zanzibar fedha Za TBL wanazitaka ila hawataki kukiona kiwanda cha TBL Zanzibar
hahahahahahaZanzibar fedha Za TBL wanazitaka ila hawataki kukiona kiwanda cha TBL Zanzibar
Sasa Zanzibar tunashea gharama gani 50/50 kwenye muungano? Tuelimishane ankali.SMZ siyo ya muungano bwashee!
ndo sababu muungano hauta kua sawa sababu m1 anaumiaSiyo kweli hatushei gharama za muungano, Rais wa Jmt halipwi na mapato toka Zanzibar.
Kuna waziri anayeshughulikia muungano, na ndo maana rais wa Zanzibar ni waziri asiye na wizara maalum kwenye baraza la mawaziri wa JMT.Vijamaa vina unafiki mwingi sana vile.
Swali langu kwenye kutatua kero za muungano nani aliiwakilisha Tanganyika?
#MaendeleoHayanaChama
Huo ni utapeli wa kisiasa.Kuna waziri anayeshughulikia muungano, na ndo maana rais wa Zanzibar ni waziri asiye na wizara maalum kwenye baraza la mawaziri wa JMT.