Wasomi ??!!!Mkuu serikali ya Muungano ina cover tanganyika na Zanzibar na SMZ ina cover Zanzibar tu. Maana yake Zanzibar kuna serikali mbili bara kuna serikali moja. Kwa hiyo tuna serikali tatu. 1 serikali ya SMZ
2. Serikali ya Muungano bara
3. Serikali ya Muungano Zanzibar
Huoni huu ni utata wa kimataifa tena ukizingatia bara kuna wasomi Bado hawaelewi hili jambo?
Kama ni muungano mbona wao wanaendelea kutumia zanzibar na sisi tanganyika tumeliacha tunatumia tanzania,mbn wanaraisi wao sisi hatuna tuna raisi wa tanzania sio tanganyikaaa anyway vipiiii mkuuuu na kulipa ni 50/50 kwa uchumi wa zanzibar wataweza kulipaHuo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Dr Bashiru Ally Kakurwa Sio msomi?Wasomi ??!!!
Nanaona mabinti wazuri kule mkuu. Mkopo unaweza kulipikaKama ni muungano mbona wao wanaendelea kutumia zanzibar na sisi tanganyika tumeliacha tunatumia tanzania,mbn wanaraisi wao sisi hatuna tuna raisi wa tanzania sio tanganyikaaa anyway vipiiii mkuuuu na kulipa ni 50/50 kwa uchumi wa zanzibar wataweza kulipa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nanaona mabinti wazuri kule mkuu. Mkopo unaweza kulipika
How !!Simple mathematics , kuuvunja Muungano ni kuiondoa CCM madarakani.
I
Ibara sikumbuki. Ila kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar ni nchi na ina Serikali.Inasema kwenye ibara gani ya hiyo katiba?
Her father was a school teacher and her mother a housewife. Ms Hassan graduated from high school but has said publicly that her finishing results were poor, and she took a clerkship in a government office at 17.Baba mzazib wa Maza unamfahamu ?
Kulipa chama king one uongozi kupitia box la kuraHow !!
Kweli na Prof Tibaijuka !!Dr Bashiru Ally Kakurwa Sio msomi?
Je Zanzibar hata ipewe 50/50 ina uwezo wa kurudisha mikopo inayokopwaHuo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Samia is married to her husband Hafidh Ameir, at present a retired agricultural officer since 1978. They have 4 children, her second born, Wanu Hafidh Ameir (born 1982), is a special seat member of the Zanzibar House of Representatives.Her father was a school teacher and her mother a housewife. Ms Hassan graduated from high school but has said publicly that her finishing results were poor, and she took a clerkship in a government office at 17.
Kwa mujibu wa hii
Samia Suluhu Hassan Biography: Age, Family, Husband and Children
Samia Suluhu Hassan Biography: Age, Family, Husband and Children. Samia Suluhu is a Tanzanian CCM politician who was born on January 27, 1960, in the Sultanate of Zanzibar as Samia Hassan Suluhu.diasporamessenger.com
Samia is married to her husband Hafidh Ameir, at present a retired agricultural officer since 1978. They have 4 children, her second born, Wanu Hafidh Ameir (born 1982), is a special seat member of the Zanzibar House of Representatives.Kweli na Prof Tibaijuka !!
Mama ni Rais bara na Mtoto ni mbunge visiwani. Pelekeni fedha Za mikopo visiwani mkitarajia zitalipwa . Walipaji wa hizo fedha wako mwanza,arusha na dodomaSamia is married to her husband Hafidh Ameir, at present a retired agricultural officer since 1978. They have 4 children, her second born, Wanu Hafidh Ameir (born 1982), is a special seat member of the Zanzibar House of Representatives.
Kila mtu alipe anachokichukua na kukitumia. Zanzibar wakiweza wapate hata mgao wa asilimia 80, ili mradi wanalipa wao huku hatuna shida.Huo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Waswahili kukopa wanajua sasa kulipa sasa.Kila mtu alipe anachokichukua na kukitumia. Zanzibar wakiweza wapate hata mgao wa asilimia 80, ili mradi wanalipa wao huku hatuna shida.
Unashangaa nyambizi zinaibukia tu hapo magogoni na silaha nzito nzito au watu wanaibuka na mijegejo hapo bichi maarufu wakiwa na mashua kama wavuvi wa kawaidaKujilinda Na nini Zanzibar ni mpaka uvuke bahari lakini Kenya, Uganda,Rwanda Burundi , Kongo, Malawi, Zambia Msumbiji unaingia kwenye vichaka Tu.
Wapi zaidi ni kwa kujilinda. Akili zenu ziko mkunduni?
Kiukweli ni aidha 1 au kila mtu achukue chake.yes umefeli big tym yanii... sababu ni hakuna usawa na dawa yake ni serkali 3 au 1
Hakuna Cha Sawa sawa kila nchi ikope ki vyake Kama ni hivyoHuo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!