Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa Mataifa mawili na si idadi ya watu. Kihalali mgao wowote ulitakiwa uwe 50/50

naona umezima data kwenye akili, unafikiria kwa kutumia tumbo
 
Mgao 50/50 ni sawa. Lakini mikopo kila mmoja akakope anachoweza kulipa.
 
Idi Amin alipoivamia Tanganyika , vikosi vya kwanza kupelekwa Vilitoka ZNZ
Huu ni uongo..
Brigedi ya Tabora ndio ilikuwa ya kwanza na sababu ya kuwa ya kwanza,
ilikuwa ishajiandaa(active) kwenda msumbuji kumsadia Samora Machel kupigania uhuru.
 
Huu ni uongo..
Brigedi ya Tabora ndio ilikuwa ya kwanza na sababu ya kuwa ya kwanza,
ilikuwa ishajiandaa(active) kwenda msumbuji kumsadia Samora Machel kupigania uhuru.

Askari wa hiyo brigedi ya Tabora w
Huu ni uongo..
Brigedi ya Tabora ndio ilikuwa ya kwanza na sababu ya kuwa ya kwanza,
ilikuwa ishajiandaa(active) kwenda msumbuji kumsadia Samora Machel kupigania uhuru.

Soma historia ya vita vya Kagera.

Mazungumzo ya Mogadishu yalifikia makubaliano kwamba majeshi ya Tanzania yakae kilomita 16 kutoka mpaka wa Uganda au hata nje kabisa ya umbali huo,vile vile majeshi ya Uganda yaliamuriwa kukaa umbali huo huo sawa na majeshi ya Tanzania ingawa Tanzania haikufikiria kuwa Idi Amin angeishambulia.

Kikosi kilichokuwa na jukumu la kuulinda mpaka wa Uganda na Tanzania ni Brigedi ya 202 ya jeshi la wananchi Tabora,chini ya Brigedia Kamanda Yusuf Himid,ambaye alikuwa akisimamia Kanda ya Magharibi.
 
Mleta mada unachanganya mambo hapa.
Kama jambo linahusika na muungano, Zanzibar itahusishwa kama eneo lolote la nchi ya Tanzania, yaani hakuna sababu ya kulizungumzia kwa uwiano wowote, tutaizungumzia kama ilivyo Tabora, Dar, Mtwara, Arusha nk.

Issue inakuja kwenye mambo yasiyo ya muungano (kama Elimu, Afya, Maji, Miundo mbinu nk) hapo kila nchi inapaswa kusimama kivyake, kwenye haki na wajibu. Kama Zanzibar itataka ipewe 50% ya mkopo ambao Tanzania imeomba basi iwe tayari kulipa 50% pia, na kama inataka ipewe 50% ya budget maana yake ichangie pia 50% ya mapato ya budget.

Bahati mbaya mpaka sasa yote hayafanyiki hivyo, ni mwendo wa chuki au fadhila tu.
 
Mbona unaongea vitu tofauti wewe..
Hiyo treaty ya mogadishu ilikuwa miaka nane kabla ya vita.
Baada ya mwalimu kutangaza vita na Uganda Brigedi ya Tabora iliyokuwa inajiandaa kwenda
Msumbiji tiali ilikuwa iko njiani kuelekea Uganda.
Historia ipi tena niisome vizuri?
 
#We need our Tanganyika back!
Hii hashtag inafaa kutrend.
Wajukuu zetu watatuona sisi tukiongozwa Dr.Mpango ndio masultani Mangungo wasasa!
 
Huu ni uongo..
Brigedi ya Tabora ndio ilikuwa ya kwanza na sababu ya kuwa ya kwanza,
ilikuwa ishajiandaa(active) kwenda msumbuji kumsadia Samora Machel kupigania uhuru.

Naona wewe ndio umesahau au kwa taarifa Soma kitabu vita vya Kagera
 
Nisome mara ngapi?
Wewe unafikiri kupeleka jeshi vitani ni kama sendoff.
Tabora ndio ilikuwa active na ndio walioenda.

Unafikiri wa Zanzibari walichukuliwa vita ilipoanza Peke yake ? Walipelekwa kabla vita chini ya Brigadia Yussuf Himid
 
Kikosi cha Zanzibar kilikuwa kinaitwaje?
Na kilienda lini kabla ya hiyo vita?

Ndiyo nikakuambia kuwa
Kikosi cha Zanzibar kilikuwa kinaitwaje?
Na kilienda lini kabla ya hiyo vita?

Kikosi kilichokuwa na jukumu la kuulinda mpaka wa Uganda na Tanzania ni Brigedi ya 202 ya jeshi la wananchi Tabora,chini ya Brigedia Kamanda Yusuf Himid,ambaye alikuwa akisimamia Kanda ya Magharibi.
 
Tanganyika iko wapi? Mbona haionekani kwenye Atlas, haionekani kwenye ramani ya dunia, haionekani kwenye Google Maps? Tanganyika ndiyo nini leo?
 
Ndiyo nikakuambia kuwa

Kikosi kilichokuwa na jukumu la kuulinda mpaka wa Uganda na Tanzania ni Brigedi ya 202 ya jeshi la wananchi Tabora,chini ya Brigedia Kamanda Yusuf Himid,ambaye alikuwa akisimamia Kanda ya Magharibi.
Duuh umeulizwa swali jingine unajibu jingine..
Kikosi cha zanzibar kiliitwaje na kilienda lini uganda kupigana vita?
Hicho kikosi ulichokitaja umekataa hakikuwa cha kwanza kwenda vitani.
 
Na kulipia huo mgao iwe 50/50. Mzee nyerere alituingiza chaka kutuunhanisha na ki mkoa. Heri ingekuwa Tanzania bara na Tanzania visiwani nchi mbili kuwa nchi moja.
 
Duuh umeulizwa swali jingine unajibu jingine..
Kikosi cha zanzibar kiliitwaje na kilienda lini uganda kupigana vita?
Hicho kikosi ulichokitaja umekataa hakikuwa cha kwanza kwenda vitani.
Hivi hujui kuwa Zanzibar haina jeshi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…