Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Kufunganisha nchi kubwa kama Tanganyika na nchi ndogo kama Zanzibar iliyo sawa na mkoa au wilaya za Tanganyika si sawa wala, muungano wa aina hii haupaswi kuendelezwa.

Rais wa nchi kubwa kama Tanganyika hapaswi kulinganishwa na Rais wa Zanzibar....Ufumbuzi ni Serikali tatu au mikoa yote ya Tanganyika iwe na hadhi sawa na Zanzibar, na kila mkoa uwe na Rais wake au Gouvernor wanaowajibika kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ufumbuzi ni Serikali moja tu ya Kidemokrasia ambayo inawajibika kwa Wananchi.
 
Back
Top Bottom