Muungwana kumg'oa Pinda?

Muungwana kumg'oa Pinda?

Status
Not open for further replies.
Chanzo hicho chenye heshima na ambacho ni muhimu katika mustakabali wa taifa kilithibitisha pia kuwa Rais mstaafu Mkapa alikwishamuonyaJK kuwa asimpoteze Magufuli kisiasa kwani atamsaidia sana kurudisha imani iliyopungua ya wananchi kuhusu matarajio waliyokuwa nayo kwa JK kabla hajawa Rais

Mkuu Kakulwa,

Heshima mbele na ashante sana kwa hizi dataz.Naomba tuendelee kuhabarishana mkuu
 
Wakuu mwenye macho haambiwi tazama,kama mnategemea habari mpaka mletewe na mwakakijiji ndiyo muamini,haya!
Habari ndiyo hiyo wakuu,nitazidi kuzileta kwa kadiri ninavyozipata.

gademu! huyu naye... huu msururu itabidi tuanze kukatisha tiketi.
 
Habari za uhakika pia ni kwamba JK anataka kumpa uraia Obama ikiwa atashindwa urais US na kumfanya kuwa waziri wake mkuu. Habari ndiyo hiyo......

Haya bwana, mwingine mwenye habari ya uhakika?.........

JF tunaanza kujishushia hadhi wenyewe! Udaku mtupu!!
 
Habari za uhakika pia ni kwamba JK anataka kumpa uraia Obama ikiwa atashindwa urais US na kumfanya kuwa waziri wake mkuu. Habari ndiyo hiyo.....

Mheshimiwa,umelenga kuchekesha jukwaa au unauhakika na uyasemayo?
Kwani Obama ameomba uraia wa Tanzania? Au Muungwana ataenda kumwomba awe raia wa Nchi yetu?
Usitake kuniambia Mkuu huenda huko kumwomba mheshimiwa Akishindwa aje hapa.A little bit inafurahisha
 
Wakuu mwenye macho haambiwi tazama,kama mnategemea habari mpaka mletewe na mwakakijiji ndiyo muamini,haya!
Habari ndiyo hiyo wakuu,nitazidi kuzileta kwa kadiri ninavyozipata.

Jiamini mkuu.Hil hilo tuu.Hata wewe unaweza lete info hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom