Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limemkamata mtu mmoja akiwa anauza CD/VCD/DVD za uchochezi wa kidini.
Polisi mkoani humo wamesema walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu mtu huyo kujihusisha na uuzaji huo wa CD za uchochezi. Walipokwenda walimkuta mtu huyo akiuza CD hizo ambazo zinawahimiza waislamu kuwadhuru Wakristo.
CD hizo zilionesha watu wanaosadikiwa kuwa waislamu wakiwa wamevalia kijeshi huku wakiwa na silaha za moto.
Ndani yake alisikika mtu mmoja akiongea kwa lugha ya Kiswahili akiwahamasisha waislamu kuwadhuru Wakristo.
Source: Star TV Habari 11.03.2013 (20:00).
My take:
Natoa pongezi kwa jeshi la Polisi mkoani Simiyu kwa kazi nzuri waliyoifanya. Polisi mikoa mingine waige mfano huu wa Polisi Simiyu ili kuleta amani nchini mwetu.
Polisi mkoani humo wamesema walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu mtu huyo kujihusisha na uuzaji huo wa CD za uchochezi. Walipokwenda walimkuta mtu huyo akiuza CD hizo ambazo zinawahimiza waislamu kuwadhuru Wakristo.
CD hizo zilionesha watu wanaosadikiwa kuwa waislamu wakiwa wamevalia kijeshi huku wakiwa na silaha za moto.
Ndani yake alisikika mtu mmoja akiongea kwa lugha ya Kiswahili akiwahamasisha waislamu kuwadhuru Wakristo.
Source: Star TV Habari 11.03.2013 (20:00).
My take:
Natoa pongezi kwa jeshi la Polisi mkoani Simiyu kwa kazi nzuri waliyoifanya. Polisi mikoa mingine waige mfano huu wa Polisi Simiyu ili kuleta amani nchini mwetu.