Muuza chapati

We jamaa ni msumbufu sana juzi umenisumbua sana pale wavuvi camp nikununulie bia
Uchawa sio mzuri kazi yako kusifia sifia tuu mara boss,mkuu,mkali,mkurugenz,

Una gar nzur,umependeza acha ujinga wewe
Maeneo ya kazin????labda kazi ya uchawa

Sasa mkurugenzi si uninunulia tajiri
 
Kuna kitu kinaitwa Attention deficit disorder (ADD). Ni tatizo la kisaikolojia, na kwa hali yako naona tayari limefikia chronic phase!

Tafuta tiba!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Heh!kazi kweli kweli bado hujakua ukikua utajua kuwa umeshauzwa Kwa waraabu

Ndio maana nataka unipeleke ukubwani hili unionyeshe wakubwa mnakuwaje kwa utamu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…