Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #61
We jamaa ni msumbufu sana juzi umenisumbua sana pale wavuvi camp nikununulie bia
Uchawa sio mzuri kazi yako kusifia sifia tuu mara boss,mkuu,mkali,mkurugenz,
Una gar nzur,umependeza acha ujinga wewe
Maeneo ya kazin????labda kazi ya uchawa
Anakuchukulia kama mteja tu Acha shobo
AiseeDah nashobokewa na mdada mmoja kila nikienda kununua chapati anafurah ana kishundu sema embu nipeni ujanja huyu dada kesho nimkule kimasihara af tupie kwa [mention]rikiboy [/mention] kule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna gono lisilosikia dawa
We Neng’eneka tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKuna kitu kinaitwa Attention deficit disorder (ADD). Ni tatizo la kisaikolojia, na kwa hali yako naona tayari limefikia chronic phase!
Tafuta tiba!
Ko unategemea matajiri wakupelekeeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo nimekosa kampan mpaka sasa nimetaoa tangazo humu naona matajiri leo hawana pesa
Ko unategemea matajiri wakupelekeeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uombeweDah nashobokewa na mdada mmoja kila nikienda kununua chapati anafurah ana kishundu sema embu nipeni ujanja huyu dada kesho nimkule kimasihara af tupie kwa [mention]rikiboy [/mention] kule
Heh!kazi kweli kweli bado hujakua ukikua utajua kuwa umeshauzwa Kwa waraabu[emoji23][emoji23][emoji23] nipe madini mkuu af nina mtoto wa kisukuma nae ananipenda mimi simpendi hajui mambo
Acha uombewe
Heh!kazi kweli kweli bado hujakua ukikua utajua kuwa umeshauzwa Kwa waraabu
So mie mwalimu saivi nataka mume wewe mtu mwenye vogueNdio maana nataka unipeleke ukubwani hili unionyeshe wakubwa mnakuwaje kwa utamu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas sawaaahIyo ni last dream
So mie mwalimu saivi nataka mume wewe mtu mwenye vogue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas sawaaah
Kwenye Daladala ulikuwa unasubiria Nini??Nina vanguard na forester hazikutoshi?
Chibabu anayo vogue na range