Democrasia
Member
- Feb 1, 2008
- 79
- 3
Jana mchana majira ya saa saba eneo la Tengeru nje kidogo ya mji wa Arusha bara bara ya Moshi kuna mfanya biashara maarufu hapo ajulikanaye kama KIMARIO kutoka ROMBO amakamatwa na zaidi ya katoni mia tano (500) za konyagi ambozo ni FEKI zimekuwa zikiwadhuru kweli wananchi hasa maeneo hayo ambayo yamekuwa yakiuziwa kinyaji hicho.
Sasa wasi wasi wangu ni kwamba, Kwa kuwa tuko bongo na Bongo yetu hii utasikia jamaa kaachiwa huru na kesi inaendelea
Naomba walio karibu wafuatilie kesi hii nami nitakuwa natoa update kila siku wakuu
.........naomba kuwasilisha.........
Sasa wasi wasi wangu ni kwamba, Kwa kuwa tuko bongo na Bongo yetu hii utasikia jamaa kaachiwa huru na kesi inaendelea
Naomba walio karibu wafuatilie kesi hii nami nitakuwa natoa update kila siku wakuu
.........naomba kuwasilisha.........