unamaanisha Gonorea? @KKJAmbazi
unamaanisha Gonorea? @KKJAmbazi
hiyo ni ngoma ndogo antbiotic ina husika hapo iwe vidonge au sindano na uache kuendesha pikipiki bila element
Hiyo yaweza kuwa UTI nenda Pharmacy mweleze utakayemkuta atakupa vidonge utapona ishanitokea mara mbili nikapona hasa inachangiwa na vyoo tunavyotumia maana mi si mtu wa papuchi kivile