Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
voda nao wale wale nimejiunga kifurushi cha dk 30 kilichonikuta nimeongea dk chache nikatumiwa ujumbe kifurushi chako kimekwisha hii mitandao sasa wanajichumia wawezavyoNiende Moja kwa Moja kwenye Hoja.
Baada ya tarehe mbili Mwezi huu Aprili kupewa onyo juu ya bei ya mabando, hawa watu halotel waliweka Gharama walizodai ni za kawaida accordingly kwa wao kuzingatia waliyoiweka ndio bei kabla ya offer. Mh Rais Alivyoendelea kuwaonya HALOTEL walirejea kama zamani, lakini GB inakwisha sekunde tu. Mpaka sasa ukinunua kifurushi hakikatishi kimekatwa. Kwa sasa wao wanakomoa. Jamani anahalieni na huu ni ujnga mkubwa sana na utapeli..
Marekebisho kwenye niwe Makini isomeke Muwe
AyaEndelea kuona ina afadhali kwako, kwangu ni bora unionyeshe unaichukuaje 1000 yangu na inaendaje sio kuwa upuuz huu.
Wewe itakua kuna mtu anashika simu yako then anajipunguzia MB, yaani unaipenda HALOTEL? Basi hamia TIGO au VODAKwenye mambo ya biashara kupigwa inauma sana bora nijue GB 1 yangu inaisha kwenye video kwenye kuperuzi ikaekae..lakini hawa jamani usirogwe ufungue picha WhatsApp unashangaa imeliwa. Lkn jaman sio kwa kasi hiyo. Wamezidisha spidi ya ukatwaji kwa mteja I can feel it.
Wataalam wa haya mambo mnajua, mbps @(mega bites per second) Wana I calculate ikate jamani muoneeni huruma mtu wa chini..acheni kutuibia
Kama wewe una imani kuwa mkweliWewe naisi umetumwa sio bure halotel mimi Gb1 natumia siku 4 mbona sema muache kuangalia porn ndo zinazo wamalizia mb izo