mbwana semsimbazi
Senior Member
- Sep 5, 2013
- 196
- 202
Walimuua au?Kwenye chuo kimoja cha kitabibu proffesa aliwaingizaa wanafunzi kwenye chumba chenye maiti akawaambiaa sifa ya UDAKTARI ni kutokuwa na kinyaa, pili ni kuwa makini. Akaingizaa kidole kwenye njia ya haja kubwa kwa maiti mmoja kisha akalamba halafu akawaambiaa wote wafanyee hivyo, na wote wakafanya akawambia "zoezi" la kutokuwa na kinyaa mmefaulu ila kutokuwa makini mmefeli, mimi niliingiza kidole cha kati lakini nikalamba kidole cha pili toka gumba...!!
'Nackia proffesa alizikwa kabla ya ile maiti' MUWE MAKINI
HaahaaaaaaaahahaUkute marehemu kafa kwa kipindupindu
Walimuua au?
hapanaWalimuua au?
Yah wanafunz walibid wamshughulikiee na alizikwa kabla ile mait kuzikwaa...Walimuua au?
Itakuwa walimuua kwa hasira[emoji23] [emoji23] [emoji23]Walimuua au?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwenye chuo kimoja cha kitabibu profesa aliwaingizaa wanafunzi kwenye chumba chenye maiti akawaambiaa sifa ya UDAKTARI ni kutokuwa na kinyaa, pili ni kuwa makini.
Akaingizaa kidole kwenye njia ya haja kubwa kwa maiti mmoja kisha akalamba halafu akawaambiaa wote wafanyee hivyo, na wote wakafanya akawambia "zoezi" la kutokuwa na kinyaa mmefaulu ila kutokuwa makini mmefeli, mimi niliingiza kidole cha kati lakini nikalamba kidole cha pili toka gumba...!!
'Nackia profesa alizikwa kabla ya ile maiti' MUWE MAKINIπππ
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mkuu nipo ofisini hapa napiga kazi, lakini kwa huu "MZINGA" wako, ngoja ni-shut down mpaka kesho!
Kwenye chuo kimoja cha kitabibu profesa aliwaingizaa wanafunzi kwenye chumba chenye maiti akawaambiaa sifa ya UDAKTARI ni kutokuwa na kinyaa, pili ni kuwa makini.
Akaingizaa kidole kwenye njia ya haja kubwa kwa maiti mmoja kisha akalamba halafu akawaambiaa wote wafanyee hivyo, na wote wakafanya akawambia "zoezi" la kutokuwa na kinyaa mmefaulu ila kutokuwa makini mmefeli, mimi niliingiza kidole cha kati lakini nikalamba kidole cha pili toka gumba...!!
'Nackia profesa alizikwa kabla ya ile maiti' MUWE MAKINIπππ
Haaa kumbe inaviambatanishi Mshana iko wapi hiyo
Maabara ya daktari aliyezikwa kabla ya maiti ya practical [emoji23] [emoji15] [emoji25]Haaa kumbe inaviambatanishi Mshana iko wapi hiyo
Aisee kali kulikoMaabara ya daktari aliyezikwa kabla ya maiti ya practical [emoji23] [emoji15] [emoji25]