Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongosho upowanamme wengi ukiwaambia unagusa 'Ego' yao haswa.
Hata kama utamwambia tumia akili nyingi.
Sidhani Konnie
Mkiwa mnapendana kila mmoja anatakiwa kuwa wazi kwa mwenzake
Haya mambo ya kuwa kila siku mmoja wenu anaachwa solemba sio mambo kabisa
Eti, sababu hasa ya kinadada kutokuwa wawazi pale wapenziwao wanapokuwa hawawafikishi ni nini hasa??? Kwanini huwa wanapenda kuumia kimyakimya??
Kongosho upo
Nimekumiss aise
Sidhani Konnie
Mkiwa mnapendana kila mmoja anatakiwa kuwa wazi kwa mwenzake
Haya mambo ya kuwa kila siku mmoja wenu anaachwa solemba sio mambo kabisa
Ndio unasema lakini unajua tu kuwa limemgusa.
Anakuwa kipilitoni kiaina.
Husynino aliniachia ujumbe kuwa nisimame kwanza kuingia humu mpaka arudi sasa sijui atarudi lininipo, siku hizi umeadimika tangu @Husynino aondoke?
Kulikoni usije kuwa kile kibabu.
Mmmhh laziz wangu mbona mie nikikwambia huwa unanihama chumba?
Huwa unasema kwa kuniumbua bana
Ungesema kiustaraabu kuwa laaziz hebu ongeza ujuzi kidogo ningekuelewa
Ila wewe na sauti yako kubwa eti bado sijafika ndo mambo gani bana
Yummy nakuja laaziz nipo kwenye daladala hapa na foleni ya kufa mtuBasi mpenzi sirudii tena,nimejifunza. Nimepata hamu ya kukuona ghafla.....njoo basi honey nakusubiri.
wewe thamani yako ni kuubwa mno
ndo maana ukawa mke
na Kaunga akawa nyumba ndogo tena ex nyumba ndogo now
usimtaje taje akajiona bure
hata we kwa kongosho nyumba ndogo halafu siku hakatizi pale ofsini nilimpa mkwara mzito