Muwe mnatusalimia Basi!!!!!!Hata kama hatujapendeza

Tatizo lako unajificha kama popo kwenye mapango, wewe ke au me?

Mimi ni ke kama ilivyo picha unayoiona.na uwa
Navaa vitenge kwa sana kwa hiyo ukimwona
Mama amevaa vitenge kila siku ujue UPOPO
 
Nashukuru kwa wote mliochangia ,na wale walionisalimia nawaambia asateni na marahaba.Sasa najisikia mwanaJF
 
....nimeipenda hii....
...kesho nakugonga laik...
 
Hilo jina ni sawa na salamu tukusalimieje tena.
 
Notimpya asante kwa kunipenda,wewe ujambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…