William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #21
Heiwezi kuwa bila bila, we sikiliza kibao cha mpenzi Clara, hadi chozi litakutoka....
- Ni kweli mkuu ukitaka kuhumu bendi hizi mbili, sometiems ni vyema ukaenda kwa song by song, kwa kweli hapo Sikinde in the 90s anakuwa hana mpinzani, I mean kuanzia Taxi, Clara mtoto wa Msimbazi Kota, Tufurahi na wana-Sikinde, Kaka Selemani, Usitumie pesa kama fimbo,
- Msondo walikuwa na nyimbo mbili tu yaani "Punguza chenga zako na dana dana", na "Nilikupeleka kwa wakwe zako"
- Lakini kuanzia 2000 ndipo Msondo wakaanza kuibuka na "Binti Maringo" , "Kalunde", "Ukiwa ni mwema" "Wewe bwana harusi", "Mambo hadharani", Sikinde walijibu na wimbo mmoja tu yaani "Isaya mrithi wangu wa baadaye", Msondo ilikuwa juu, lakini sasa hivi wka maoni yangu wote wako chalii!
FMES!
