Mkuu hii ndege ni mali ya Kampuni ya Comfort jet service ambayo wamiliki wake wanakaa Togo. Labda useme kakodi tutaelewana. hata hivyo angeinunu wasanii wetu wanavyo penda sifa angekua kashaondoa rangi na nembo ya hiyo kampuni.
Tusubiri Aweke nembo yake au afute iliyopo ndo tujue kainunua.
Mia