magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Namiss ile miaka zinatoka nyimbo kama Siachani Nawe (Baraka Da Prince), Basi Nenda (Mo Music), Sijazoea Masebene (Y Tony). Hizi ngoma hata zikipigwa leo ni kama mpya vile, waimbaji na producers waliumiza vichwa sana.
Muziki wetu hauna utambulisho wetu tena. Ile ladha ya Bongo inapotea kwa kasi kubwa. Mbaya zaidi hata hit song zinazotoka kipindi hiki hazina ubavu wa kusurvive hata mwaka. Siongei kishabiki ila rejea Tetema by RayVanny & Diamond na Uno ya Harmonize kama bado zinamaisha kwenye speaker zako. U-Nigeria umekuwa mwingi ubunifu hakuna tena kwa wote producers na waimbaji.
Sijagusia upande wa Hip Hop huko ndio kabisa wanaita trap siku hizi. Sijui nani aliwadanganya Trap Music is all about "BATA", no more storytelling. Beats za trap nyingi ni tofauti ila zinafanana.(Kama umewahi fanya production utanielewa).
To cut the story short, wanalipua sana kazi zao.
Muziki wetu hauna utambulisho wetu tena. Ile ladha ya Bongo inapotea kwa kasi kubwa. Mbaya zaidi hata hit song zinazotoka kipindi hiki hazina ubavu wa kusurvive hata mwaka. Siongei kishabiki ila rejea Tetema by RayVanny & Diamond na Uno ya Harmonize kama bado zinamaisha kwenye speaker zako. U-Nigeria umekuwa mwingi ubunifu hakuna tena kwa wote producers na waimbaji.
Sijagusia upande wa Hip Hop huko ndio kabisa wanaita trap siku hizi. Sijui nani aliwadanganya Trap Music is all about "BATA", no more storytelling. Beats za trap nyingi ni tofauti ila zinafanana.(Kama umewahi fanya production utanielewa).
To cut the story short, wanalipua sana kazi zao.