kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
Unajua jf kila mtu anajikuta Mastermind,,
Hivi kipi ambacho mpaka leo kimebaki vile vile? Hata salamu tu sio kama tulzokua nazo..saiz dogo unakutana nae anakwambia niaje bro
Kila jambo linaenda na wakati kutokana na mahitaji au mazigira...kasikilize ngoma za south Africa za kina brendaface ,kisha angalia walipo saiz.
Trust me itakuja kipind badae utakuja muzik ,kuna watu watasema zaman bwana ndio wakina diamond waliimba ,sio Hawa vijana wa sasa..
Game imechange mkuu...muzik biashara..ww kaimbe siwema uone kama utatoboa saiz.
Hata mbele, kumbuka ngoma za juzi tu hapo walizo kua wanapiga wakina rozee...zile ngoma saiz hazipo tena
Kumbuka ngoma kama im so hood ya khaled,make it rain ya fat,pop that ya french,amili ya weezy...yani kulkua na ngoma flan na combination flan saiz hakuna...wakina Kendrick, thug,madogo wanapiga mikato mingine kabisaa...ila ndo wapo kwa peak saiz..
So ww ukimis zako old bongoflava ,nipm nikupe link ya telegram ina ngoma za bongo flava zote utaenjoy [emoji2]
Kuna siku joo makini alisema kama umemis ngoma zangu za kitambo basi we nenda kaziskize..ila mim sipo huko tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kipi ambacho mpaka leo kimebaki vile vile? Hata salamu tu sio kama tulzokua nazo..saiz dogo unakutana nae anakwambia niaje bro
Kila jambo linaenda na wakati kutokana na mahitaji au mazigira...kasikilize ngoma za south Africa za kina brendaface ,kisha angalia walipo saiz.
Trust me itakuja kipind badae utakuja muzik ,kuna watu watasema zaman bwana ndio wakina diamond waliimba ,sio Hawa vijana wa sasa..
Game imechange mkuu...muzik biashara..ww kaimbe siwema uone kama utatoboa saiz.
Hata mbele, kumbuka ngoma za juzi tu hapo walizo kua wanapiga wakina rozee...zile ngoma saiz hazipo tena
Kumbuka ngoma kama im so hood ya khaled,make it rain ya fat,pop that ya french,amili ya weezy...yani kulkua na ngoma flan na combination flan saiz hakuna...wakina Kendrick, thug,madogo wanapiga mikato mingine kabisaa...ila ndo wapo kwa peak saiz..
So ww ukimis zako old bongoflava ,nipm nikupe link ya telegram ina ngoma za bongo flava zote utaenjoy [emoji2]
Kuna siku joo makini alisema kama umemis ngoma zangu za kitambo basi we nenda kaziskize..ila mim sipo huko tena.
Sent using Jamii Forums mobile app