Muziki wa Taarabu umekufa kifo cha mende

Kifo cha kikatili.Bado dansi iko mahututi pia
 
Dah imefikia hivyo kiingilio maji ya uhai? Au unazungumzia wale wanao copy nyimbo kuziimba ambao sio waimbaji wenyewe? Maana nilimsikia hadija kopa alisema sehemu nyengine kiingilio bia ila watu wanaimba nyimbo zao kama alilalamika
 
Afadhari ife tu tupumzike, muziki gani ule wa kusimangana na kupigana vijembe tu.
 


Una akili iliyajaa ganzi ama bado uko katika status ya 'still loading' kichwani. Mwenyewe unasema kwa sasa Dar hakuna hela na hapo hapo unasema hizi bendi za taarab zikipiga watu hawajai sijuwi kwanini, una maana gani wakati unaelewa tatizo ni hela? Mze Yusuf siyo taarab, taarab ni zaidi ya Mze Yusuf kwani yeye alizaliwa aliikuta hiyo taarab. Unaongea kwa hasira kwa kuwa taarab inapendwa na wengi ni sawa na muziki wa dansi isipokuwa kuna watu kama wewe kwa makusudi wanakandamiza vya kwao kutaka umma ushabikie miziki yao mfano fleva, n.k. Hiyo miziki niliyokutajia ndiyo miziki asili ya Tanzania si hii ya computer uipendayo wewe. Unaonekana wewe ni kijana wa 2004 - 2010, umepata smart phone jana tu na hujuwi history ya nchi yako unakuja hapa kukurupa kutaka watu wasupport miziki ya kiNigeria na Marekani ambayo mnaibatiza kuwa yenu, una akili kweli wewe, hivi hauna hata mshipa wa haibu kichwani?
 
Afadhari ife tu tupumzike, muziki gani ule wa kusimangana na kupigana vijembe tu.


Siku zote vitu vya ukweli vinaumiza watu akili....tungo za taarab zinagusa jamii na ndiyo maana ule muziki unapendwa sana na hakuna atakayeweza kuuua hata kwa kuuroga, ni kazi bure tu.
 
Dah imefikia hivyo kiingilio maji ya uhai? Au unazungumzia wale wanao copy nyimbo kuziimba ambao sio waimbaji wenyewe? Maana nilimsikia hadija kopa alisema sehemu nyengine kiingilio bia ila watu wanaimba nyimbo zao kama alilalamika
yeah imefikia hapo mkuu
Hali ni tete
 
Alipata mauza mauza gani yule mtu kuamua kutoka nduki vile kuimba zile nyimbo,,itakuwa jamaa alitokewa na malaika laivu akapewa ukweli akaona isiwe tabu.
hata mie nahisi kuna something behind
 
hahaaa naond povuu kubwa sana mapovu ruksa ila yasiwe ya sabuni ya mkopo
 
Siku zote vitu vya ukweli vinaumiza watu akili....tungo za taarab zinagusa jamii na ndiyo maana ule muziki unapendwa sana na hakuna atakayeweza kuuua hata kwa kuuroga, ni kazi bure tu.
utakufa kwa uzembe wa kuimba taradance utunzi ni zero, kinanda ni zero, sauti ni zero sasa ndo waimbaji wa siku hizi kina isha mashauz wanaimba
 
HIZI BEND KAMA ZIMEKUFA
G5, FUNGA KAZI TAARAB, KINGS TAARAB, 5 STARS KWISHNEY, AL-JAZEERA TAARAB, NA NYINGINE NYINGI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…