Muziki wa Taarabu umekufa kifo cha mende

utakufa kwa uzembe wa kuimba taradance utunzi ni zero, kinanda ni zero, sauti ni zero sasa ndo waimbaji wa siku hizi kina isha mashauz wanaimba


Unataka kuniambia taarab unaweza kuifananisha na bongo fleva? Bongo fleva kuimba hawajuwi, wao kila kitu wanapikiwa na kupakuliwa na ndiyo maana kuimba live wanachemsha, wao ni computer tu.
 
Unataka kuniambia taarab unaweza kuifananisha na bongo fleva? Bongo fleva kuimba hawajuwi, wao kila kitu wanapikiwa na kupakuliwa na ndiyo maana kuimba live wanachemsha, wao ni computer tu.
taarab siku hizi inafanana na dance
 
Mleta Uzi maneno ya mistar mitatu ya mwisho yapo vzr tatizo utunzi sauti na na ubunifu ni zero mm nasema ukweli taarab ilianza kufa toka mzee yusuph akiwepo ila Omar kopa alikua ni zaid ya noma alikua anaifufua taarab ambayo ilishaanza kupoteza ubora enz za akina nasma hamis. Na Hadija kopa lakin alionekana ni tishio na walimtanguliza kuhofia kupotezwa na baadae akina kijot. Waliiga saut tu ya yule Kijana lakin walikua n moto Omar alikua sio tu mtunz mahir pia alikua na saut na alikua ni mbunifu kuliko mzee yusuph
Ni Sawa na. Jb au rey angeachana na uigizaji mwaka majuz watu wNgehs n yeye sabab kumbe sababu ni kuwa mbunifu aliyekuwa analeta ushindan hatunae tena
 
Daah enzi za mzee Yusuph ilikuwa hatari aisee

Ukisikia jahazi wanapiga show lazima kiwake lakini sikuhizi miyeyusho tu

Nilitegema mtu kama Amigo. Mohammed Mtu Pori waje kutamba ile mbayaa lakini wapi


Kwanza asilimia kubwa ya nyimbo za jahazi zilikuwa zinatungwa na mzee Yusuph
 
Naona tangu kigwangala Atangaze kukusaka kwa udi na uvumba ulipotea ghafla sasa hivi umerudi kivingine umebadili mpk ID yako.
 
Pengine useme kuwa ni wakati mwengine sasa wa kubadili jina la aina ya taarab ya sasa na sio kusema taarab imekufa.

Taarab imepita katika mabadiliko mengi kutoka kwenye vyombo, utungaji na uwimbaji wake na hata maudhui yake yamebadilika kwa baadhi ya vikundi.

Taarab imepata kujulikana kama morden taarab, taarab asili, rusha roho na sasa ina vionjo vingi va sebene.
 

Ck hz ni mwend wa cngeli tu
 
singeli on fire bongo flava yenyew imebaki mkononi mwa watu wawili tu.....
 
Wewe ndie wa kulamba mafuta ya " Kondom"..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…