UGOKO MKAVU
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 202
- 78
Heshima kwenu Wakuu,
Leo nina furaha sana kwa kuwa mwanachama rasmi wa Jamii Forums, ninaomba ushirikiano wenu wadau.
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa mdau mkubwa wa mitando mingine ya kijamii lakini hivi karibuni baada ya kupitia baadhi ya mijadala nimejifunza mengi na natumaini nami nitatoa mchango/ushauri wangu inapobidi.
Shukrani nyote.
Leo nina furaha sana kwa kuwa mwanachama rasmi wa Jamii Forums, ninaomba ushirikiano wenu wadau.
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa mdau mkubwa wa mitando mingine ya kijamii lakini hivi karibuni baada ya kupitia baadhi ya mijadala nimejifunza mengi na natumaini nami nitatoa mchango/ushauri wangu inapobidi.
Shukrani nyote.