Mvi za ujanani zimekuwa kero

Mvi za ujanani zimekuwa kero

Anahitaji kujua aina ya dawa ya kufanya mvi zisionekane kwa muda.
Kutokana na tafiti inaonesha kutafuna mbegu za alizeti kunapunguza kasi ya kutokea kwa mvi. Pia upungufu wa madini ya shaba huweza kupelekea hali kama hiyo ya nywele kupoteza rangi.

Lakini huu ushauri unaleta mantiki kwa maana ya kupunguza kasi nadhani sio kuzipoteza kimiujiza! Kwa hilo suala tuwaachie warembo wenzie wataalamu wa makeup
 
Pole kama zinakukera, tumia super black kila zikiota au jifunze kuzipenda.
 
Kama familia yako ina watu wanaowahi kupata mvi hata ufanyeje na kwako zitawahi tu,, mi ni mmojawapo na hazinipi mawazo zenyewe zije tu
 
Back
Top Bottom