OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sio kwa ubaya lakini. Mnatuchukia kwani kosa letu ni nini?! 😀😀😀
Nunueni jezi kwanza ndio mpate hela ya usajili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waje vipi pesa ya usajili wamelipa deni la yule aliewaita mambwaKwa hili Kolo mmejitahidi, tusiwe wanafiki mmejipanga kwa kweli na ligi yetu inaendelea kuwa bora. Ngoja tuwasubiri wale wa GSM watakujaje.
Naona mshschukua kombe la wachezaji MVP,hongereniKwa hili Kolo mmejitahidi, tusiwe wanafiki mmejipanga kwa kweli na ligi yetu inaendelea kuwa bora. Ngoja tuwasubiri wale wa GSM watakujaje.
Ligi za ndondo lkn zinauza wachezaji kila msimu kila siku kwenda ulaya.MVP ligi za ndondo
Mnatamba kwa Minimum Viable Products mkidhani ni Most Valuable Players.View attachment 2683225
Sio kwa ubaya lakini. Mnatuchukia kwani kosa letu ni nini?! [emoji3][emoji3][emoji3]
Nunueni jezi kwanza ndio mpate hela ya usajili
Kwenye Jezi timu inapata 1300 sa sjui itakuaje???View attachment 2683225
Sio kwa ubaya lakini. Mnatuchukia kwani kosa letu ni nini?! [emoji3][emoji3][emoji3]
Nunueni jezi kwanza ndio mpate hela ya usajili
Kwenye jezi yenyewe hata buku jero hawapati, ndo maana wanasajili kina kibabage.Nunueni jezi kwanza ndio mpate hela ya usajili
Sijawahi ONA mchezaji wa Ligi ya Rwanda au Kameruni ngazi ya Vilabu akiwa na medali yeyote ya CAFCC au CAFCL.MVP ligi za ndondo