Mvua ilivyonirahisishia kazi kwa huyu mtoto (Emergency love)

Ukamkaza kavu khaaa pole yakoo sana sana tamaa mwachie fisi aendelee kula mifupa
 
Aisee, wewe ndie 'umeliwa' kidandara! We chalii niaje? Yaani kamtego kadogo hivyo cha huyo manzi umenasa? Ungekutana na mitego ya 'maprofeshno' ungetoka kweli wewe? Kajicheki afya kwanza!
Yaani mkuu mtoto niliyekuwa namtamani kajileta nijizuie tena
 
hapo lazma ulipiga kavu kavu tu, kufa konda kufa dereva!
 
Duhh pole sana kama unaweza mkimbie sababu mshahara ukitoka tu anautaka na kumdanganya huwezi mapenzi ya ofisini yalishatuumiza pia kapime sbb utakuta hapo ofisini ww ndo ulikuwa umebaki kwenye listi yake ya kuwaambukiza sbb alinyeshewa makusudi kwa kukaa pembeni ya mwavuli ili akifika avue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…