Mvua ilivyonirahisishia kazi kwa huyu mtoto (Emergency love)

Sasa kajihakiki kabisa ANGAZA bro,maana hiyo mvua inaweza kukuletea faida mbili kwa mpigo
 
Hahahahahahaa kulikua na mada ya mpwa wangu The Boss juu ya kitendo cha.... kuwa sasa ni nani hapo ambae ndio alinaniliwa? Yeye au wewe??
 
hahahaha akwahio jamaa alikua domo zege hahahahhaaha

Sasa mwavuli si sh 3000 tu..why aombe lift ya mwavuli na amfuate jamaa hadi kwake?
we huoni huyu kahurumiwa tu...
 
Sasa mwavuli si sh 3000 tu..why aombe lift ya mwavuli na amfuate jamaa hadi kwake?
we huoni huyu kahurumiwa tu...
Halafu nusura kijana ashindwe kula tena, kha! Hii ingekuwa aibu ya mwaka, ndio maana jana nilisema kila "mwanaume" ana story to tell
 
Halafu nusura kijana ashindwe kula tena, kha! Hii ingekuwa aibu ya mwaka, ndio maana jana nilisema kila "mwanaume" ana story to tell

kabisa kijana katoa taulo akatoka nje
ikabidi dada alidondoshe hilo taulo....ha haaa...
 
kabisa kijana katoa taulo akatoka nje
ikabidi dada alidondoshe hilo taulo....ha haaa...
Nahisi hata nanihii ilibidi "ishtuliwe" kidogo, unakumbuka yale magari ya kuwasha kwa kuzungusha handle? Yaani mpaka utekenye tekenye kwanza ndio gari inawaka, hahahaha Vijana achene kula chips yai....madhara yake ni makubwa sana, saa hizi anakuja kuianika aibu yake hapa kwa wanaume
 
ukipima afya halafu ugundue uko positively charged uje uishukuru mvua humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…