Noma sanaWiki mbili hawajaoga?πππ
Ebana Chato mda huu mvua ya kufa mtuHuo ni Mzimu wa Magufuli, pamoja na kufa bado anapendelea Mwanza na Chato tu.
Haijafukua makaburi?Ebana Chato mda huu mvua ya kufa mtu
Daah, wewe mtu weweeeπ°π°π°ili iweje sasa?na kwa nini ifukue ya huko?Haijafukua makaburi?
Daah, wewe mtu weweeeπ°π°π°ili iweje sasa?na kwa nini ifukue ya huko?Haijafukua makaburi?
Mungu hutuletea miujiza kwa mitindo mbalimbali.ππππDaah, wewe mtu weweeeπ°π°π°ili iweje sasa?na kwa nini ifukue ya huko?
Nyamagana sehemu gani mkuu, mbona mie nipo nyamagana nikamvua tu kalinyesha si kubwa ya mawe kama ulivyoandika.Nyamagana
Na sisi dar huku tupunguzien mvua kiduchuMvua kubwa inayoendelea kunyesha hapo ni hatari kwa mazao na mazingira kiujumla
Kajamaa kaongoMwanza sehem gani mkuu maan me wilaya nlipo mvua ilinyesha mara moja tu toka mwezi wa kumi
Ni kiswahili ulichoandika?πItakuwaa inanyeshachato maanamityoteya seluhuilipelekwakule
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Maeneo ya Butimba ilipiga ya mvua ya mawe.Nyamagana sehemu gani mkuu, mbona mie nipo nyamagana nikamvua tu kalinyesha si kubwa ya mawe kama ulivyoandika.
Daaaah π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίnyie wa daslam mtulie kidogo
Wanasingiziana mimba tu.Bure kabisa.Hahaha dar dhambi nyingi
Hata toneHainyeshi kabisa mkuu?