Planet FSD
JF-Expert Member
- Oct 24, 2019
- 455
- 948
Habari ya muda huu wakuu?
Nina kajumba kangu ambako nilikuwa nimemaliza kupaua jana. Nilipanga jumatatu nikafate mabati ili nije kumalizia lakini naona leo mvua inanyesha, jambo ambalo limenikosesha raha kwa sababu kwa ufuatiliaji wangu humu nimeona watu wengi wanasema mbao zikinyeshewa afu zikakauka zitapinda.
Nimemuuliza fundi amenihakikishia tuko salama, zikinyeshewa siku moja sio mbaya. Je, hili ni kweli wadau? Anasema labda mvua inyeshe mwezi mzima ndo hapo zinaweza kupinda.
Nina kajumba kangu ambako nilikuwa nimemaliza kupaua jana. Nilipanga jumatatu nikafate mabati ili nije kumalizia lakini naona leo mvua inanyesha, jambo ambalo limenikosesha raha kwa sababu kwa ufuatiliaji wangu humu nimeona watu wengi wanasema mbao zikinyeshewa afu zikakauka zitapinda.
Nimemuuliza fundi amenihakikishia tuko salama, zikinyeshewa siku moja sio mbaya. Je, hili ni kweli wadau? Anasema labda mvua inyeshe mwezi mzima ndo hapo zinaweza kupinda.