Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Dalili ya mvua ni mawinguSasa unaionaje ukiwa bunju😆😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili ya mvua ni mawinguSasa unaionaje ukiwa bunju😆😆😆
Ningekuwa karibu aisee utelezi ningefaidi mno[emoji41]Hii hali ya hewa taaaaaaaaamu sana dahh
Yah Niko ddm ilazo hali imetulia tulivvu nataka nivushe mtu aje aniblesss tundaHapa Dodoma imepiga usiku ya kawaida asubuhi imetulia
Mwenye update ya mvua;Huku Mbezi ya Magufuli mvua inanyesha balaa vipi huko kwenu
Bro Lushoto 1, upo ?Huku Kibaha ni manyunyu tuu
Inafaa kuliwa eeh, [emoji16][emoji16]Hii hali ya hewa taaaaaaaaamu sana dahh
Me nlimaanisha KulalaInafaa kuliwa eeh, [emoji16][emoji16]
Huku shamba hamna mvua, ni kama dhambi zimezidi
Huko ikikomaa siku nzima mnatoka na mitumbwi nyumbani huko hadi SwaswaYah Niko ddm ilazo hali imetulia tulivvu nataka nivushe mtu aje aniblesss tunda
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nipo Mwamba karibu PwaniBro Lushoto 1, upo ?
Japo hata picha ya tone moja la mvuaHuku Mbezi ya Magufuli mvua inanyesha balaa vipi huko kwenu
Kweli kabisa,pia kununua nyumba na kupanga pia.Ndio muda mzuri wa kuchagua kiwanja kizuri cha kujenga
Tujiandae tuu na maji kujaa mtaani barabarani na kwenye mitaroHyo mvua inapigia kutokea huku ddm Kisha Moro imepiga kubwa Sana na huko dar usku wa leo itakuwa kubwa maradufu hayo Ni kutoka mamlaka za utabiri wa Hali ya hewa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app