Sheria gani inaruhusu benchi la timu kukagua uwanja kama unafaa??Kama tunavyojua mnyama simba anapepetana na mtibwa sugar katika uwanja wa manungu complex
Mvua kubwa Sana imenyesha maji ni mengi mengi uwanjani na nje ya uwanja
Tunasubili kujua hatima ya mchezo huu
Bechi la ufundi la simba limeingia uwanjani kukagua uwanja Kama utafaa au la!!
Makubaliano ya pande zoteSheria gani inaruhusu benchi la timu kukagua uwanja kama unafaa??
Kichwa kibovu mzee, KAMISHNA NA REFARII PEKEE NDIO WANAAMUA GAME ICHEZWE AU ISITISHWE. WE UNADHANI GAME YA KIRAFIKI HIYO??Makubaliano ya pande zote
Acha uongo wewe ikitokea hali kama hiyo kamati iliyokaa kwenye prematch ikihusisha pande zote mbili ndo wanatakiwa wakubaliane kama match Ichezwe kwenye hali kama hiyo ama lah! Na sio maamuzi ya huyo kamishna na refarii pekee.. reference kwenye game ya simba na almasry refer alisimamisha game baada ya mvua kubwa kunyesha ilipokata Aliita pande zote mbili kuwauliza kama wahirishe match hadi siku inayofuata ili kumalizia muda uliobaki? Almasry waliomba game iendelee wamalizie hivyohivyo.. kilichofuata refer akaweka mpira Kati game ikaendelea kwenye maji hivyohivyo... pia refer match ya aly ismail ya misri na simba..ismail walikuwa tayari wamekoga goli mbili bahati mbaya mvua ilishuka nzito match ikasimamishwa kilichofuata game ikahirishwa hadi siku ya tatu likn baada ya kamati pamoja na pande mbili kukubaliana.. ko benchi la simba limeenda kujiridhisha ili wawe na cha kuongea kwenye kamati ya maamuziKichwa kibovu mzee, KAMISHNA NA REFARII PEKEE NDIO WANAAMUA GAME ICHEZWE AU ISITISHWE. WE UNADHANI GAME YA KIRAFIKI HIYO??
Unajua utopolo wapo kubisha tu hata Sheria hawajuiAcha uongo wewe ikitokea hali kama hiyo kamati iliyokaa kwenye prematch ikihusisha pande zote mbili ndo wanatakiwa wakubaliane kama match Ichezwe kwenye hali kama hiyo ama lah! Na sio maamuzi ya huyo kamishna na refarii pekee.. reference kwenye game ya simba na almasry refer alisimamisha game baada ya mvua kubwa kunyesha ilipokata Aliita pande zote mbili kuwauliza kama wahirishe match hadi siku inayofuata ili kumalizia muda uliobaki? Almasry waliomba game iendelee wamalizie hivyohivyo.. kilichofuata refer akaweka mpira Kati game ikaendelea kwenye maji hivyohivyo... pia refer match ya aly ismail ya misri na simba..ismail walikuwa tayari wamekoga goli mbili bahati mbaya mvua ilishuka nzito match ikasimamishwa kilichofuata game ikahirishwa hadi siku ya tatu likn baada ya kamati pamoja na pande mbili kukubaliana.. ko benchi la simba limeenda kujiridhisha ili wawe na cha kuongea kwenye kamati ya maamuzi
Kasome sheria vizuri. Ni REFA NA KAMISHNA TU ndio wanaamua kama game ichezwe au isichezwe. Hata kama timu zikitaka game isichezwe refa akiamua ichezwe inachezwa.Acha uongo wewe ikitokea hali kama hiyo kamati iliyokaa kwenye prematch ikihusisha pande zote mbili ndo wanatakiwa wakubaliane kama match Ichezwe kwenye hali kama hiyo ama lah! Na sio maamuzi ya huyo kamishna na refarii pekee.. reference kwenye game ya simba na almasry refer alisimamisha game baada ya mvua kubwa kunyesha ilipokata Aliita pande zote mbili kuwauliza kama wahirishe match hadi siku inayofuata ili kumalizia muda uliobaki? Almasry waliomba game iendelee wamalizie hivyohivyo.. kilichofuata refer akaweka mpira Kati game ikaendelea kwenye maji hivyohivyo... pia refer match ya aly ismail ya misri na simba..ismail walikuwa tayari wamekoga goli mbili bahati mbaya mvua ilishuka nzito match ikasimamishwa kilichofuata game ikahirishwa hadi siku ya tatu likn baada ya kamati pamoja na pande mbili kukubaliana.. ko benchi la simba limeenda kujiridhisha ili wawe na cha kuongea kwenye kamati ya maamuzi
Kama sheria/ utaratibu upo hivyo kwanini kocha wa red arrows alilalamika kutokuhairishwa kwa mechi wakati yeye alitaka mechi ihairishwe kutokana na hali ya uwanja?Acha uongo wewe ikitokea hali kama hiyo kamati iliyokaa kwenye prematch ikihusisha pande zote mbili ndo wanatakiwa wakubaliane kama match Ichezwe kwenye hali kama hiyo ama lah! Na sio maamuzi ya huyo kamishna na refarii pekee.. reference kwenye game ya simba na almasry refer alisimamisha game baada ya mvua kubwa kunyesha ilipokata Aliita pande zote mbili kuwauliza kama wahirishe match hadi siku inayofuata ili kumalizia muda uliobaki? Almasry waliomba game iendelee wamalizie hivyohivyo.. kilichofuata refer akaweka mpira Kati game ikaendelea kwenye maji hivyohivyo... pia refer match ya aly ismail ya misri na simba..ismail walikuwa tayari wamekoga goli mbili bahati mbaya mvua ilishuka nzito match ikasimamishwa kilichofuata game ikahirishwa hadi siku ya tatu likn baada ya kamati pamoja na pande mbili kukubaliana.. ko benchi la simba limeenda kujiridhisha ili wawe na cha kuongea kwenye kamati ya maamuzi
Bwege wewe hata maji yakifika magotini akiamua refa match ichezwe inachezwa tu!!Kasome sheria vizuri. Ni REFA NA KAMISHNA TU ndio wanaamua kama game ichezwe au isichezwe. Hata kama timu zikitaka game isichezwe refa akiamua ichezwe inachezwa.
Kwanini Simba mwaka huu inaziogopa hizi timu za wakata miwa?Kama tunavyojua mnyama simba anapepetana na mtibwa sugar katika uwanja wa manungu complex
Mvua kubwa Sana imenyesha maji ni mengi mengi uwanjani na nje ya uwanja
Tunasubili kujua hatima ya mchezo huu
Bechi la ufundi la simba limeingia uwanjani kukagua uwanja Kama utafaa au la!!
Sio kweli unachongea hakuna sehemu kocha wa red arrows inaonyesha alikataa match isichezwe kwa sababu ya uwanja..isitoshe uwanja wa taifa ulikuwa kwenye hali nzuri tofautisha na manungu. kocha wao alipohojiwa alilalamikia maamuzi kwamba waamuzi wetu ni wa kikanda (hakuridhika na uamuzi na sio hali ya uwanja)Kama sheria/ utaratibu upo hivyo kwanini kocha wa red arrows alilalamika kutokuhairishwa kwa mechi wakati yeye alitaka mechi ihairishwe kutokana na hali ya uwanja?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akili yako haiko sawa, sasa maji yanafikaje magotini?? Maamuzi ya kughairisha mechi ipo mikononi mwa refa sio viongozi wa TIMU.Bwege wewe hata maji yakifika magotini akiamua refa match ichezwe inachezwa tu!!
HALI NZURI??Sio kweli unachongea hakuna sehemu kocha wa red arrows inaonyesha alikataa match isichezwe kwa sababu ya uwanja..isitoshe uwanja wa taifa ulikuwa kwenye hali nzuri tofautisha na manungu. kocha wao alipohojiwa alilalamikia maamuzi kwamba waamuzi wetu ni wa kikanda (hakuridhika na uamuzi na sio hali ya uwanja)
Umepanic? Kunywa maji mengi mkuu, huu mchezo hauitaji hasiraAcha akili za kipumbavu! Angalia hali ya uwanja, kama hata umeona video za uwanja na watu wako eneo la tukio, uwanja maji yanajaa hadi yanapunguzwa na ndoo, ni uwanja wa mpira au swimming pool..ushabiki mwingine wa kipumbavu.
Kichwa kibovu mzee, KAMISHNA NA REFARII PEKEE NDIO WANAAMUA GAME ICHEZWE AU ISITISHWE. WE UNADHANI GAME YA KIRAFIKI HIYO??