Snipes JF-Expert Member Joined Jul 2, 2013 Posts 9,165 Reaction score 16,791 May 5, 2017 #1 leo niliacha maji nje kwenye ndoo nilitaka kwenda kuoga, wakati nipo ndani mvua ikanyesha nikatoka nje baada ya mvua kuisha ili nikaoge nimekuta maji yangu yote yamelowa, nimekasirika kweli [HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
leo niliacha maji nje kwenye ndoo nilitaka kwenda kuoga, wakati nipo ndani mvua ikanyesha nikatoka nje baada ya mvua kuisha ili nikaoge nimekuta maji yangu yote yamelowa, nimekasirika kweli [HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 May 5, 2017 #2 Kwanini na wewe ukasahau kuyafunika na mwavuli sasa??
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,474 Reaction score 125,866 May 5, 2017 #3 Akili yako unaielewa mwenyewe
BIGstallion JF-Expert Member Joined Sep 13, 2016 Posts 6,324 Reaction score 7,913 May 5, 2017 #4 Ungekung'uta,..yangekauka
MIXOLOGIST JF-Expert Member Joined Mar 1, 2016 Posts 14,311 Reaction score 36,056 May 5, 2017 #5 ulienda kuosha sabuni kabla ya kuoga?
Ivan mapalala JF-Expert Member Joined Feb 3, 2017 Posts 285 Reaction score 103 May 6, 2017 #6 Hahahaaaaa
nicholous mella JF-Expert Member Joined May 11, 2017 Posts 312 Reaction score 162 May 17, 2017 #7 Duuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!!!!!