Mvua na Jua vya laana

Mvua na Jua vya laana

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kumekuwa na ukame mkubwa ambapo mvua zilikosa kabisa kunyesha. Sasa imeanza kunyesha. Watu wamepanda mahindi na mazao mengine. Kinachoonekana ni kuwa zinanyesha bila kukatika na hivyo kila mmea kuoza. Tunaomba mvua za kiasi si za laana

Likija jua kila kitu kinakauka. Jua la laana! Nchi gani hii haina kipimo?

Serikali haina kipimo, wanabariki sheria za hovyo.

Wabunge akina Salma Kikwete hawaka kipimo, wanajilimbiizia mahela ya wananchi

Mahakama haina kipimo, inaikumbatia serikali. Angali danadana za AG na Peter madeleka wanavyomngagani as if hana haki kukaa Tanzania.

Bunge halina kipimo, imekuwa sehemu ya serikali! kusanyiko la wahuni, walaji, wacheza mdundiko and the like

NA MWISHO RAIS HANA KIPIMO ANAUZA KILA RASILIMALI YA TAIFA HILI
 
Kumekuwa na ukame mkubwa ambapo mvua zilikosa kabisa kunyesha. Sasa imeanza kunyesha. Watu wamepanda mahindi na mazao mengine. Kinachoonekana ni kuwa zinanyesha bila kukatika na hivyo kila mmea kuoza. Tunaomba mvua za kiasi si za laana

Likija jua kila kitu kinakauka. Jua la laana! Nchi gani hii haina kipimo?
Inasikitisha sana, tumekuwa watu wa bahati mbaya kila wakati.
 
Kwanza nianze Kwa kumshukuru mama Samia kizimkazi Kwa kubalance Mvua nadhani maeneo mengi hayana shida sana mikoa ya Chakula mama Ameupiga mwingi mvua nzuri ishu ni bonde LA wami ruvu maeneo ya morogoro hatari na pwani ya kusini ufuta umezingua kidogo. Kwa Kanda ya Kati waliowahi kupanda December hawana shida.. Kanda ya ziwa sijajua
 
Kwani inanyesha mikoa yote mkuu hii mvua maana huu ukanda wa pwani ndiyo inanyesha ingawa kuna muda inakata kwa muda wa dk10 then inaendelea
 
Kumekuwa na ukame mkubwa ambapo mvua zilikosa kabisa kunyesha. Sasa imeanza kunyesha. Watu wamepanda mahindi na mazao mengine. Kinachoonekana ni kuwa zinanyesha bila kukatika na hivyo kila mmea kuoza. Tunaomba mvua za kiasi si za laana

Likija jua kila kitu kinakauka. Jua la laana! Nchi gani hii haina kipimo?

Serikali haina kipimo, wanabariki sheria za hovyo.

Wabunge akina Salma Kikwete hawaka kipimo, wanajilimbiizia mahela ya wananchi

Mahakama haina kipimo, inaikumbatia serikali. Angali danadana za AG na Peter madeleka wanavyomngagani as if hana haki kukaa Tanzania.

Bunge halina kipimo, imekuwa sehemu ya serikali! kusanyiko la wahuni, walaji, wacheza mdundiko and the like

NA MWISHO RAIS HANA KIPIMO ANAUZA KILA RASILIMALI YA TAIFA HILI
Mwaka juzi niliandika hapa jukwaani maono niliyoyaona nikiwa mlimani. kwa kweli Mungu ameitosa Tanzania kwa sababu nyingi sana.
  1. Viongozi wameuza mioyo yao kwa shetani
  2. Sehemu kubwa ya wananchi wamegeuka mazombi wa viongozi makusudikali
  3. Walioshika zamu za kuiombea nchi wapo bize kwenye kapu la sadaka na kugeuza hekalu kuwa gulio hususan wanauza vipawa vya Roho wa Bwana.
 
Back
Top Bottom