Mvua nzito, mafuriko na upepo mkali vyachelewesha Israel kuivamia Gaza

Mvua nzito, mafuriko na upepo mkali vyachelewesha Israel kuivamia Gaza

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Wakati Israel ikijiandaa kuivamia Gaza, kulitokea kimbunga kikali sana na mvua kubwa iliyoahirisha mipango ya Israel kuingiza majeshi yake Gaza.

Hali hiyo imeweka presha kubwa kwa serikali ya Netanyahu kwanza kudeal na janga hilo la ndani kabla ya kupeleka majeshi Gaza.

Wakati huohuo Hizbollah wameendelea kulipua mitambo ya kielectronic ya kidukuzi iliyosimikwa upande wa Israel ambayo kazi yake ilikuwa ni kufuatilia nyendo za vikosi vya Hizbollah.

Hizbollah imetoa red line kwa Israel kuwa kitu kimoja kitakachosababisha wakiwashe kiukwelikweli ni kwa Israel kuvamia Gaza.

Ifahamike kuwa Hizbollah ana makombora mazito yanayofika 150000 ambayo yanaweza kupiga sehemu yoyote ndani ya ardhi ya Israel.

Wacambuzi wa mambo wanasema kuwa licha ya Israel kuwa na mifumo bora kabisa ya ulinzi wa anga ya Iron dome, lakini takwimu zinaonyesha kuwa ufanisi wake hupungua pale makombora mengi yanapotumwa kwa wakati mmoja.

Kwa hiyo wana uhakika kuwa Yapo makombora ya Hizbollah yatakayopenya hata kama mengine yatadakwa. Na pia wameonya kuwa kikawaida Israel ndiyo hupeleka maumivu kwa raia wa nchi nyingine inazopigana nazo, lakini safari hii vita ikitokea raia wa Israel nao wajiandae kuwa wakimbizi ndani ya Israel maana hawatokuwa salama pindi makombora yatakapokuwa yanayesha.

Wachambuzi wa mambo wakaendelea kuonya kuwa infrastructure muhimu kama vile mitambo ya umeme, viwanja vya ndege, na magahala ya mafuta ya Israel nayo ytakuwa katika target.

Hata hivyo Israel nayo ina uwezo mkubwa wa kupeleka maumivu na hasara kubwa sana kwa lebanon, maana ina jeshi bora kabisa la anga na ndege bora kabisa za kivita.

Lakini tatizo linakuja kuwa haitaisaidia tena Israel kuharibu kwa mwenzie kama kwako pia kunaharibiwa, na hili ndo linalifanya Israel issiguse Hizbollah kwa sasa licha ya kuwa Hizbollah imeendelea kuharibu asssets muhimu za israel mpakani.

Ifahamike kuwa Hizbollah iliundwa katika miaka ya 1980 baada ya Israel kuivamia Lebanon na kuua watu wengi sana kule.


View: https://www.youtube.com/watch?v=KUP_VkvYmno&ab_channel=OpenmindedThinkerShow
 
Bbc swahili wanajua hii habari? Au ndio wenye kuficha ficha?
 
Ngoja nikupe elimu kidogo mkuu kuhusiana na hawa jamaa. Hamas ni Cult, iran ni Cult, israel ni zionist khazarian Cult na hezbollah pia ni cult. Tukisema ni Cult namanisha ni makundi yenye imani za siri lakini mbele za watu na vyombo vya habari wanajifanya ni waislamu au wayahudi.

Hawa lengo lao ni kuvuruga amani ya dunia. Zingatia barua ya Albert Pike ambaye ni mkuu wa illuminati na freemason kwenda kwa Giuseppe Mazzini mwaka 1871 regarding a conspiracy involving 3 world wars, that were planned in an attempt to take over the world.

Pike letter was on display in British Museum Library until 1977.

The Third World War must be fomented by taking advantage of the differences caused by the "agentur" of the "Illuminati" between the political Zionists and the leaders of Islamic World.

Huu mgogoro usipende kuingilia wala kushabikia upande mmoja kwani utajikuta unamsaidia shetani bila kujua. Acha wafu wazike wafu wenzao.
 
Wakati Israel ikijiandaa kuivamia Gaza, kulitokea kimbunga kikali sana na mvua kubwa iliyoahirisha mipango ya Israel kuingiza majeshi yake Gaza.

Hali hiyo imeweka presha kubwa kwa serikali ya Netanyahu kwanza kudeal na janga hilo la ndani kabla ya kupeleka majeshi Gaza.

Wakati huohuo Hizbollah wameendelea kulipua mitambo ya kielectronic ya kidukuzi iliyosimikwa upande wa Israel ambayo kazi yake ilikuwa ni kufuatilia nyendo za vikosi vya Hizbollah.

Hizbollah imetoa red line kwa Israel kuwa kitu kimoja kitakachosababisha wakiwashe kiukwelikweli ni kwa Israel kuvamia Gaza.

Ifahamike kuwa Hizbollah ana makombora mazito yanayofika 150000 ambayo yanaweza kupiga sehemu yoyote ndani ya ardhi ya Israel.

Wacambuzi wa mambo wanasema kuwa licha ya Israel kuwa na mifumo bora kabisa ya ulinzi wa anga ya Iron dome, lakini takwimu zinaonyesha kuwa ufanisi wake hupungua pale makombora mengi yanapotumwa kwa wakati mmoja.

Kwa hiyo wana uhakika kuwa Yapo makombora ya Hizbollah yatakayopenya hata kama mengine yatadakwa. Na pia wameonya kuwa kikawaida Israel ndiyo hupeleka maumivu kwa raia wa nchi nyingine inazopigana nazo, lakini safari hii vita ikitokea raia wa Israel nao wajiandae kuwa wakimbizi ndani ya Israel maana hawatokuwa salama pindi makombora yatakapokuwa yanayesha.

Wachambuzi wa mambo wakaendelea kuonya kuwa infrastructure muhimu kama vile mitambo ya umeme, viwanja vya ndege, na magahala ya mafuta ya Israel nayo ytakuwa katika target.

Hata hivyo Israel nayo ina uwezo mkubwa wa kupeleka maumivu na hasara kubwa sana kwa lebanon, maana ina jeshi bora kabisa la anga na ndege bora kabisa za kivita.

Lakini tatizo linakuja kuwa haitaisaidia tena Israel kuharibu kwa mwenzie kama kwako pia kunaharibiwa, na hili ndo linalifanya Israel issiguse Hizbollah kwa sasa licha ya kuwa Hizbollah imeendelea kuharibu asssets muhimu za israel mpakani.

Ifahamike kuwa Hizbollah iliundwa katika miaka ya 1980 baada ya Israel kuivamia Lebanon na kuua watu wengi sana kule.


View: https://www.youtube.com/watch?v=KUP_VkvYmno&ab_channel=OpenmindedThinkerShow

Mungu yupo kazini, amani itawale Gaza.
 
Ngoja nikupe elimu kidogo mkuu kuhusiana na hawa jamaa. Hamas ni Cult, iran ni Cult, israel ni zionist khazarian Cult na hezbollah pia ni cult. Tukisema ni Cult namanisha ni makundi yenye imani za siri lakini mbele za watu na vyombo vya habari wanajifanya ni waislamu au wayahudi.

Hawa lengo lao ni kuvuruga amani ya dunia. Zingatia barua ya Albert Pike ambaye ni mkuu wa illuminati na freemason kwenda kwa Giuseppe Mazzini mwaka 1871 regarding a conspiracy involving 3 world wars, that were planned in an attempt to take over the world.

Pike letter was on display in British Museum Library until 1977.

The Third World War must be fomented by taking advantage of the differences caused by the "agentur" of the "Illuminati" between the political Zionists and the leaders of Islamic World.

Huu mgogoro usipende kuingilia wala kushabikia upande mmoja kwani utajikuta unamsaidia shetani bila kujua. Acha wafu wazike wafu wenzao.
Hawa khazarian mafia ndio kina nani ?....

Au ndio vile vikundi vya kizayuni (Irgun, Stern gang, Hagganah) vilivyoendesha ugaidi miaka ya 1940's dhidi ya utawala wa Uingereza huko British occupied Palestine ?


Au ni secret societies zinazojiita Wayahudi kumbe sio ?

Mathanzua zitto junior
 
Hawa khazarian mafia ndio kina nani ?....

Au ndio vile vikundi vya kizayuni (Irgun, Stern gang, Hagganah) vilivyoendesha ugaidi miaka ya 1940's dhidi ya utawala wa Uingereza huko British occupied Palestine ?


Au ni secret societies zinazojiita Wayahudi kumbe sio ?

Mathanzua zitto junior

Huyo hajui kuwa Israel ni real estate ya Rosthchild.

Muingereza alimzawadia Rosthchild hiyo nchi kama shukran ya huyo banker kuifinance uingereza ktk vita kuu ya kwanza ya dunia, pale ilipokuwa imeelemewa inakaribia kupoteza vita dhidi ya mjerumani
 
Hawa khazarian mafia ndio kina nani ?....

Au ndio vile vikundi vya kizayuni (Irgun, Stern gang, Hagganah) vilivyoendesha ugaidi miaka ya 1940's dhidi ya utawala wa Uingereza huko British occupied Palestine ?


Au ni secret societies zinazojiita Wayahudi kumbe sio ?

Mathanzua zitto junior
Fuata link ifuatayo utaelewa kinachoendelea Ukraine,Israel na dunia kwa ujumla.

 
Wakati Israel ikijiandaa kuivamia Gaza, kulitokea kimbunga kikali sana na mvua kubwa iliyoahirisha mipango ya Israel kuingiza majeshi yake Gaza.

Hali hiyo imeweka presha kubwa kwa serikali ya Netanyahu kwanza kudeal na janga hilo la ndani kabla ya kupeleka majeshi Gaza.

Wakati huohuo Hizbollah wameendelea kulipua mitambo ya kielectronic ya kidukuzi iliyosimikwa upande wa Israel ambayo kazi yake ilikuwa ni kufuatilia nyendo za vikosi vya Hizbollah.

Hizbollah imetoa red line kwa Israel kuwa kitu kimoja kitakachosababisha wakiwashe kiukwelikweli ni kwa Israel kuvamia Gaza.

Ifahamike kuwa Hizbollah ana makombora mazito yanayofika 150000 ambayo yanaweza kupiga sehemu yoyote ndani ya ardhi ya Israel.

Wacambuzi wa mambo wanasema kuwa licha ya Israel kuwa na mifumo bora kabisa ya ulinzi wa anga ya Iron dome, lakini takwimu zinaonyesha kuwa ufanisi wake hupungua pale makombora mengi yanapotumwa kwa wakati mmoja.

Kwa hiyo wana uhakika kuwa Yapo makombora ya Hizbollah yatakayopenya hata kama mengine yatadakwa. Na pia wameonya kuwa kikawaida Israel ndiyo hupeleka maumivu kwa raia wa nchi nyingine inazopigana nazo, lakini safari hii vita ikitokea raia wa Israel nao wajiandae kuwa wakimbizi ndani ya Israel maana hawatokuwa salama pindi makombora yatakapokuwa yanayesha.

Wachambuzi wa mambo wakaendelea kuonya kuwa infrastructure muhimu kama vile mitambo ya umeme, viwanja vya ndege, na magahala ya mafuta ya Israel nayo ytakuwa katika target.

Hata hivyo Israel nayo ina uwezo mkubwa wa kupeleka maumivu na hasara kubwa sana kwa lebanon, maana ina jeshi bora kabisa la anga na ndege bora kabisa za kivita.

Lakini tatizo linakuja kuwa haitaisaidia tena Israel kuharibu kwa mwenzie kama kwako pia kunaharibiwa, na hili ndo linalifanya Israel issiguse Hizbollah kwa sasa licha ya kuwa Hizbollah imeendelea kuharibu asssets muhimu za israel mpakani.

Ifahamike kuwa Hizbollah iliundwa katika miaka ya 1980 baada ya Israel kuivamia Lebanon na kuua watu wengi sana kule.


View: https://www.youtube.com/watch?v=KUP_VkvYmno&ab_channel=OpenmindedThinkerShow

Hao waua YESU waache kutubabaisha. INGIENI GAZA MUONE CHA MOTO...
#Palestine OYEEE 🙏🤞💪🫶🙌👊✊✌️🫵
 
Back
Top Bottom