Mvua siitaki, ni kero

Wapeni hiyo mvua hata majirani zetu kenya wamwagiliziwe udogo wao walime. Wana njaa sana kule wana uhitaji sana wa mvua.

mwaka jana tuliwaibia mawingu yao ya mvua ona sasa wanavyoteseka😢.
 
kwanza asaiv mwana ccm aki like comment yangu nam report abuse....

Hahahahahahahahhahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahajaj.... Mbavu zangu mm🤣🤣🤣!mimi nnachoshukuru watu waliokuwa ccm kindaki ndaki wamepigikaaa🤣🤣!sasa hv nawaimbisha nitakavyo😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…