masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
wapiHapa nilipo mvua kama kilo 7 kwa sekunde moja nishazungukwa na maji. Vipi huko mliko
Hata mm nilipo jua linawaka kilo 6Nilipo jua linawaka la kilo 5 na nusu
masai dada ulpotelea wapiHapa nilipo mvua kama kilo 7 kwa sekunde moja nishazungukwa na maji. Vipi huko mliko
Huyu Makonda ni kishetani kidogo!Kuna mtu anaesikilizwa sana na MUNGU si amezisimamisha?View attachment 1297086
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha nakwambia tena mvua imepiga kali sanamasai dada, mvua inanyesha wapi dar hii? Kuna kitu unakitumia sio cha kawaida! nakushauri acha.