Mvua ya ajabu Gairo

Mvua ya ajabu Gairo

sadi msita

Member
Joined
Mar 10, 2013
Posts
30
Reaction score
24
MVUA YA MAAJABU YANYESHA GAIRO
Habari za kushangaza mvua ya ajabu imenyesha Gairo na maeneo jirani kama Kibaigwa, Mlali na maeneo mengine.

Mvua hiyo iliyonyesha siku mbili mfululizo imekuwa ikitoa maji meusi kama yameoshewa mkaa haijawahi kutokea maeneo haya na inasemekana imenysesha maeneo mengi ya nchi.

Je, mvua hii inaashiria nini na wewe ushawahi iona hii, wanasayansi mvua hii inamaanisha kitu gani? Na je watu wa imani mvua hii inamaanisha nini?

IMG_20200124_080425_5.jpg
 
Huo mguu sasa🤣🤣🤣🤣

Kwa ujumla hiyo mvua ipo sehemu nyingi kuanzia jana, wengine wakahisi labda kuna moshi angani huku maeneo yetu.

Inawezekana inatokona na moshi wa ule moto mkubwa uliokumba Australia siku za karibu
 
Mkuu hicho ulichovaa mguuni ndio kinaitwa SANDOZ au?

Sent using Jamii Forums mobile app
1. “Black rain” The Hiroshima and Nagasaki explosions yielded some 200 different kinds of radioactive isotopes, that is, nuclear fission particles of uranium and plutonium that escaped fission. ... This “black rain” reached ground level as sticky, dark, dangerously radioactive water
 
Inatokea mara nyingi sana tu... Wala sio huko tu..

Google kwa majibu ya uhakika.
 
Back
Top Bottom