Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Can't stop laughing π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Yan nimecheka mpaka nikasahau kuwa sahii ni usiku ππππ€£π€£π€£π€£!dah nyie watu
π€£π€£π€£π€£π€£π€£! Mguu wa kazi huoπ€£π€£π€£Yan nimecheka mpaka nikasahau kuwa sahii ni usiku πππ
Kaka wa watu hadi anajuta kuambatanisha na picha πππ€£π€£π€£π€£π€£π€£! Mguu wa kazi huoπ€£π€£π€£
Kakaa kimyaaaπ€£π€£π€£Kaka wa watu hadi anajuta kuambatanisha na picha ππ
Baharia huo mguu ni wako??
osha huo mguu kwa hayo maji hapo kwenye ndoo.
π
Imebid nirudi kuangalia mguu vzuriπ π
Guu La Nsajigwa Yule Mchezaji Wa Zamani Wa YangaHuo mguu sasaπ€£π€£π€£π€£
Kwa ujumla hiyo mvua ipo sehemu nyingi kuanzia jana, wengine wakahisi labda kuna moshi angani huku maeneo yetu.
Inawezekana inatokona na moshi wa ule moto mkubwa uliokumba Australia siku za karibu
MVUA YA MAAJABU YANYESHA GAIRO
Habari za kushangaza mvua ya ajabu imenyesha Gairo na maeneo jirani kama Kibaigwa, Mlali na maeneo mengine.
Mvua hiyo iliyonyesha siku mbili mfululizo imekuwa ikitoa maji meusi kama yameoshewa mkaa haijawahi kutokea maeneo haya na inasemekana imenysesha maeneo mengi ya nchi.
Je, mvua hii inaashiria nini na wewe ushawahi iona hii, wanasayansi mvua hii inamaanisha kitu gani? Na je watu wa imani mvua hii inamaanisha nini?
View attachment 1332925
Watu wavivu hawa haijawahi tokeaInatokea mara nyingi sana tu... Wala sio huko tu..
Google kwa majibu ya uhakika.
Guu La Nsajigwa Yule Mchezaji Wa Zamani Wa Yanga
π π πππππππ
mwamba guu lake linafaa kabisa kuanzishia uziππππππππGuu La Nsajigwa Yule Mchezaji Wa Zamani Wa Yanga
π π πππππππ
MVUA YA MAAJABU YANYESHA GAIRO
Habari za kushangaza mvua ya ajabu imenyesha Gairo na maeneo jirani kama Kibaigwa, Mlali na maeneo mengine.
Mvua hiyo iliyonyesha siku mbili mfululizo imekuwa ikitoa maji meusi kama yameoshewa mkaa haijawahi kutokea maeneo haya na inasemekana imenysesha maeneo mengi ya nchi.
Je, mvua hii inaashiria nini na wewe ushawahi iona hii, wanasayansi mvua hii inamaanisha kitu gani? Na je watu wa imani mvua hii inamaanisha nini?
View attachment 1332925
ama kweli Wazazi hawakupoteza ada hapa.You are right, Any rainwater is already naturally acidic (CO2 itself is slightly acidic) na ni harmless unless it's carying abnormal amount of CO2 ( as atmospheric concentration of CO2 increases). Kwa hiyo hii mvua itakuwa more acidic na yenye madhara kwa binadamu na viumbe vingine.
PS. I am not an expert.
Ungeanza kutaka kujua mvua ni nini. Ni kitu gani kinachosababisha mvua kunyesha. Ukifahamu hilo, itakuwa rahisi kuelezwa chanzo hayo maji kuwa na rangi hiyo.MVUA YA MAAJABU YANYESHA GAIRO
Habari za kushangaza mvua ya ajabu imenyesha Gairo na maeneo jirani kama Kibaigwa, Mlali na maeneo mengine.
Mvua hiyo iliyonyesha siku mbili mfululizo imekuwa ikitoa maji meusi kama yameoshewa mkaa haijawahi kutokea maeneo haya na inasemekana imenysesha maeneo mengi ya nchi.
Je, mvua hii inaashiria nini na wewe ushawahi iona hii, wanasayansi mvua hii inamaanisha kitu gani? Na je watu wa imani mvua hii inamaanisha nini?
View attachment 1332925
Very possibleMoto wa Australia lile jivu lake
Huo mguu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa ujumla hiyo mvua ipo sehemu nyingi kuanzia jana, wengine wakahisi labda kuna moshi angani huku maeneo yetu.
Inawezekana inatokona na moshi wa ule moto mkubwa uliokumba Australia siku za karibu
MVUA YA MAAJABU YANYESHA GAIRO
Habari za kushangaza mvua ya ajabu imenyesha Gairo na maeneo jirani kama Kibaigwa, Mlali na maeneo mengine.
Mvua hiyo iliyonyesha siku mbili mfululizo imekuwa ikitoa maji meusi kama yameoshewa mkaa haijawahi kutokea maeneo haya na inasemekana imenysesha maeneo mengi ya nchi.
Je, mvua hii inaashiria nini na wewe ushawahi iona hii, wanasayansi mvua hii inamaanisha kitu gani? Na je watu wa imani mvua hii inamaanisha nini?
View attachment 1332925
Inachekesha mno [emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka kwa sauti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]