Mvua ya ajabu Gairo

Baharia huo mguu ni wako??
osha huo mguu kwa hayo maji hapo kwenye ndoo.
πŸ˜…
Imebid nirudi kuangalia mguu vzuriπŸ˜…πŸ˜…
Huo mguu sasa🀣🀣🀣🀣

Kwa ujumla hiyo mvua ipo sehemu nyingi kuanzia jana, wengine wakahisi labda kuna moshi angani huku maeneo yetu.

Inawezekana inatokona na moshi wa ule moto mkubwa uliokumba Australia siku za karibu
Guu La Nsajigwa Yule Mchezaji Wa Zamani Wa Yanga
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€
 
Hewa ukaa
Jr[emoji769]
 
Hiyo misitu mnayochoma Moshi unaopaa angani ni huwa ni mweusi. Mnategemeaje mvua kuwa nyeupe ?
 
Ushamba unawasumbua huo weusi ni matokeo ya gesi chafu zinazochafua mazingira ya ozone. Ukisikia athari za tabia nchi ndio Kama hizo sasa usishangae sana .
 
Guu La Nsajigwa Yule Mchezaji Wa Zamani Wa Yanga
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€
Guu La Nsajigwa Yule Mchezaji Wa Zamani Wa Yanga
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€
mwamba guu lake linafaa kabisa kuanzishia uziπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Tunajuaje kama siyo ndoo yako chafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ama kweli Wazazi hawakupoteza ada hapa.
 
Ungeanza kutaka kujua mvua ni nini. Ni kitu gani kinachosababisha mvua kunyesha. Ukifahamu hilo, itakuwa rahisi kuelezwa chanzo hayo maji kuwa na rangi hiyo.
 
Tuliorudi kuzooom mguu wa mpiga picha tupeane like hapa basi[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kama huo Mguu unaoonekana hapo ni wako na huo Uchafu wake basi acheni tu hiyo Mvua ya Maajabu inyeshe tu huko Gairo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…