ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Nvua ndogo sana hii. Kuna nvua ilinyesha mwaka 1958 ikaja kujirudia mwaka 1971 mwezi wa tatu tarehe nne. Ilikuwa balaa kijanaJana hatari Sana wingi lilitanda Mida ya mchana saa Sita kukawa giza na hapo upepo mkali watu tumejificha zinapiga radi na kuvunja minazi. Wabishi wa kuhama mabondeni wamekubali jinsi maji baridi yanavyotisha wamehama wote wamerudi vijijini na huko mashambani wasio pata na waliopata wote wanakula hasara. Kwa ni huu mzigo ndo Mvua za El Nino nacho jua zilishapita hizi si ni za kifuku?
Akiwazacho mtu....Nikadhani kushusha mzigo Ni kukata gogo.
Nilikua mdogoo ila niliona mtiti wake...Ile ilianza September 1997-mpaka July 1998.
Ilikuwa hatari mvua ile. Kimyakimya bila kelele,mdogomdogo mara siku nne bila kukata.
Ilikuwa hatari.Nilikua mdogoo ila niliona mtiti wake...
kuna mkulima yupo Singida analalamika kavuna mahindi yanaoza jua akuna.yyNa zipige sanaaaa,tuliolima mihogo tuvune huku Nanjilinji