Mvua za mwaka huu hatutazisahau.

Mvua za mwaka huu hatutazisahau.

Jana hatari Sana wingi lilitanda Mida ya mchana saa Sita kukawa giza na hapo upepo mkali watu tumejificha zinapiga radi na kuvunja minazi. Wabishi wa kuhama mabondeni wamekubali jinsi maji baridi yanavyotisha wamehama wote wamerudi vijijini na huko mashambani wasio pata na waliopata wote wanakula hasara. Kwa ni huu mzigo ndo Mvua za El Nino nacho jua zilishapita hizi si ni za kifuku?
Nvua ndogo sana hii. Kuna nvua ilinyesha mwaka 1958 ikaja kujirudia mwaka 1971 mwezi wa tatu tarehe nne. Ilikuwa balaa kijana
 
Nilikua mdogoo ila niliona mtiti wake...
Ilikuwa hatari.
Kwetu sisi ambao tunalima mihogo km zao kuu la chakula ilikuwa shughuli pevu kuchakata hiyo mihogo mpaka kufikia kuwa unga.

Ila kwa samaki,ilikuwa ni shangwe tu.
Mnaenda kuvua muda mfupi tu samaki wengi.
 
Back
Top Bottom