Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Una gheto mabondeni unategemea nn?Na uchunguzi wangu mfupi ghto kibao hapa nchini zinavuja,bati kama chujio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ukiwa huna akili jaribu kuwa na aibu"huu msamiati nimeu subscribe.Na kweli kabisa , maana ukiwa huna akili jaribu kuwa na aibu
Eti eeh Mr ghetto?Usingejitokeza hapa ungekuwa unaandaa shamba, mluzi umeingia,
Karibu tena"Ukiwa huna akili jaribu kuwa na aibu"huu msamiati nimeu subscribe.
Wakifanya hivi zile kelele za Serikali imzuie mkulima kuuza mazao nje, unga ni bei ghali sana zitakuwa za chini mno.Wenzio wanaandaa mashamba kilimo Cha bamia,mwezi wa kumi wanaingiza pesa wewe unawaza gettho Kwa Nini msiuziwe Bandari
Na hapa tu jana zilivyopanda tu bei za mafuta ,sokoni nafaka nazo bei zimeshoot ghafla wanasema usafirishaji bei imepanda,,,sasa Kwa Nini vijana badala ya kuandaa magetho waandae mashamba Ili tuweze kukidhi upatikanaji wa chakula kikanda...mheshimiwa speaker nawasilishaWakifanya hivi zile kelele za Serikali imzuie mkulima kuuza mazao nje, unga ni bei ghali sana zitakuwa za chini mno.
Vijana wetu wanawaza kuhudumia maungo yao single mothers waongezeke. Elimu, Elimu, Elimu inahitajika.Na hapa tu jana zilivyopanda tu bei za mafuta ,sokoni nafaka nazo bei zimeshoot ghafla wanasema usafirishaji bei imepanda,,,sasa Kwa Nini vijana badala ya kuandaa magetho waandae mashamba Ili tuweze kukidhi upatikanaji wa chakula kikanda...mheshimiwa speaker nawasilisha
Falfasa za mamvi E.Lowassa zidumu.Vijana wetu wanawaza kuhudumia maungo yao single mothers waongezeke. Elimu, Elimu, Elimu inahitajika.
Naamini utakuwa mtamu one day utakuja ghetto inshallahEti eeh Mr ghetto?
Gettho alikuwa nalo Mangwair bwana,linanukia maunyunyu sio wewe mpaka mvua za vuli zianze ndio uanze maandalizi😁😁😁 si Bora uandae mashamba tuNaamini utakuwa mtamu one day utakuja ghetto inshallah
🤣🤣🤣 Mashamba si ndio mbususu zenyewe 😆😆😆Gettho alikuwa nalo Mangwair bwana,linanukia maunyunyu sio wewe mpaka mvua za vuli zianze ndio uanze maandalizi😁😁😁 si Bora uandae mashamba tu
Sasa yeye yuko town shamba atalipata wapi jamani mbona mnapenda kuwaonea watu? 🤣🤣🤣Wenzio wanaandaa mashamba kilimo Cha bamia,mwezi wa kumi wanaingiza pesa wewe unawaza gettho Kwa Nini msiuziwe Bandari
Mashamba mengi tu huko Chanika😅Sasa yeye yuko town shamba atalipata wapi jamani mbona mnapenda kuwaonea watu? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Mashamba mengi tu huko Chanika😅