MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hata New York huwa kunatokea hali kama hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi hawa hawa wenye style yaoMaaisha yanakuwa magumu kama yanavyokuwa kwa mbuzi wakati wa umande au manyunyu
Duh! Kwahio tuvumilie?Hata New York huwa kunatokea hali kama hiyo.
Ushaidi!!?Hata New York huwa kunatokea hali kama hiyo.
Kusifu ni laisi zaidi kuliko hayao uyasemayoSisi ni utalii, ndege ya mizigo, kuwaita mafisadi stupid, misafara mirefu ya bibie, kumsifu sana bibie kupitia TBC, kuwawezesha zenji, kushangilia ya Yanga na Simba, kupiga vipicha na vitoto, na nini sijuwi.
Mambo ya barabara kujaa maji mtajijuwa, tuko biz na hayo!😭😭😭😭
Maaisha yanakuwa magumu kama yanavyokuwa kwa mbuzi wakati wa umande au manyunyu
Ushaidi = ushahidi.Ushaidi!!?
Miaka ya zamani Dar ilikua haina hili tatizo, kuanzia miaka ya 1985 ndio hili tatizo la maji kujaa bara barani, kabla ya hapo kulikuwa na miundo mbinu ya kutoa maji bara barani sasa ilipoanza kuziba ndio hili tatizo lilipoanza mpaka sasa limesha kuwa sugu
Bado mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam zimeendelea kuwa kilio kwa wakazi wake kutokana na adha ya usafiri wanayoipata kufuatia baadhi ya barabara kujaa maji.
Hayo yanathibishwa na baadhi ya wamiliki wa vyombo vya usafiri na watembea kwa miguu wanaodai maeneo mengi yaliyokuwa sugu kwa kujaa maji kipindi cha mvua kama Jangwani na Kamata yameendelea na hali hiyo jambo linaloleta kero kwao.
Mvua hizo zilizoanza kunyesha kuanzia alfajiri ya kuamkia leo Juni 5, 2023 zimeleta madhara mbalimbali kwa wakazi wa jiji hili ikiwemo kushindwa kufika kazini kwa wakati.
Wakizungumzia changamoto hizo watumiaji wa barabara jijini hapa wamedai licha ya kujengwa kwa lami zimekuwa zikijaa maji kiasi kwamba hata watumiaji wa vyombo vya usafiri wanaogopa kupita.
“Eneo la Kamata limekuwa sugu limekuwa likitusababishia vyombo vyetu kama hizi pikipiki kuharibika,’’ amesema Joseph Stanley ambaye ni dereva wa bodaboda eneo la Kamata.
Usifananishe Dar ya mzungu na uswahili wa mtu mweusiMiaka ya zamani Dar ilikua haina hili tatizo, kuanzia miaka ya 1985 ndio hili tatizo la maji kujaa bara barani, kabla ya hapo kulikuwa na miundo mbinu ya kutoa maji bara barani sasa ilipoanza kuziba ndio hili tatizo lilipoanza mpaka sasa limesha kuwa sugu
Mzungu aliacha miundo mbinu ikiwa safi mpaka 1985 ambayo ni miaka ishini na tano toka uhuru, sasa hapo usimsingizie mzungu ni sisi wenyewe hatupendi chetu,Usifananishe Dar ya mzungu na uswahili wa mtu mweusi
[emoji817][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]Mzungu aliacha miundo mbinu ikiwa safi mpaka 1985 ambayo ni miaka ishini na tano toka uhuru, sasa hapo usimsingizie mzungu ni sisi wenyewe hatupendi chetu,
PoleniHatimaye zimeanza kunyesha
Ni jambo la Baraka mkuu ndo zimeanza kunyeshaPoleni